Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Mkaldayo huyu jamaa ni mduanzi sana asee.Hapa unatetea na hii ID yako. Lakini tunavyoendelea chin utakuja na zile ID zako zingine za kinu.. johnth.... Mr chop... Idugun... Kudhihaki kupinga
Usidhani hatukafaham. Tunakujua tu sana hadi kwako Bunju tunakupuuza tu. Tukiamua we can fix you up anytime.
Huna akili.Mkaldayo huyu jamaa ni mduanzi sana asee.
Kukosa akili maana yake unamzihaki MwenyeI Mungu ambaye ni muumba. Kama ungemwambia ni mjinga ningekuelewa kwa sababu ujinga ni kutoelewa kitu ila ukifundishwa unaweza kujua/kukielewa lakini upumbafu ni kilema kama kilema kingine tu.Sijamtukana, upumbavu sio tusi ni kukosa akili.
Ndio hivyo ni mpumbavuKukosa akili maana yake unamzihaki MwenyeI Mungu ambaye ni muumba. Kama ungemwambia ni mjinga ningekuelewa kwa sababu ujinga ni kutoelewa kitu ila ukifundishwa unaweza kujua/kukielewa lakini upumbafu ni kilema kama kilema kingine tu.
Ndio huna akili.Huna akili.
Achana nae huyu mbususu porimkuu mbona kama umejikoroga, kwahiyo na wewe ni mjamzito?
OkayNdio hivyo ni mpumbavu
Huyu shahidi wa leo alipokuwa anafanyiwa examination na upande wa utetezi alikuwa anaonesha kajeuri fulani ka - kipolisi...Ni kwamba, wanasheria upande wa mashtaka ni lazima wawe na "burden of proof" lakini kutokana na umahiri wa mawakili wa upande wa utetezi, hoja dhaifu za kisheria zinabomolewa ile mbaya.
Shahidi wa jana na wa leo wameboronga sana. "Cross examination' imewaweka katika mazingira magumu sana. Nafikiri "examination in chief" inaonekana kama kichekesho.
Mathalani, kwa siku ya jana hata "re examination" kwa Goodluck wala haikutajika. Achilia mbali ya majibu yenye utata ya leo ya shahidi ambaye ni "Police Inspector" ambaye hana kumbukumbu zake yeye mwenyewe pamoja na mahitaji ya lazima yalipo katika PGO.
Jamaa kapanda hasira baada ya kuona watu wamempuuza.Mkaldayo huyu jamaa ni mduanzi sana asee.
Huna akiliJamaa kapanda hasira baada ya kuona watu wamempuuza.
Cc Kamanda Asiyechoka magu2016 johnthebaptist Crimea mama D
Sijamtukana, upumbavu sio tusi ni kukosa akili.
Nini hii?
Hao ndio wenye akili kukuzidi wewe!Nini hii?
Wewe ni pimbiHao ndio wenye akili kukuzidi wewe!
Sijui utasemaje sasa?
Unamfix kisa kasema kweli?Hapa unatetea na hii ID yako. Lakini tunavyoendelea chin utakuja na zile ID zako zingine za kinu.. johnth.... Mr chop... Idugun... Kudhihaki kupinga
Usidhani hatukafaham. Tunakujua tu sana hadi kwako Bunju tunakupuuza tu. Tukiamua we can fix you up anytime.
Sijakuelewa shushu wa nyumba za kulala wageni au ndo mhudumu mwenyewe.Guest House Register[emoji4]View attachment 2022400