Bepari la Kinyambo
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 852
- 1,081
Unateseka ukiwa unagongwa wapiMbowe ni gaidi ndiyo maana kwa kumtea Kibatala anayeendeshwa na prof Jay amekaa mlangoni kuzuia ushahidi usipokelewe- ila hataweza kumuojoa Mbowe
Inapigwa siasa ujue Mbowe akiachiwa leo joto la Siasa litakuwa juu sana so wako tayari kufilisi Nchi kwa kesi yakijinga ili kumzuia Mbowe asiwe huruKwani ni lazima hii kesi iendeshwe?
Mhasibu wa Takukuru alikuwa na makosa 42 na yupo huru.
Hizi gharama zakuendesha kesi kama wanajua ugaidi haukufanyika na waliuzuia si bora waliouzuia wapewe zawadi na waliokusudiwa kufanya wainywe na wawe kwamatazamio.
we kalia hayo hayo- lakini mtu wenu haponi yuko Kibra
Ha ha ha ha umetisha sana mzeeKwanini kabla ya upekuzi alivitoa yeye mwenyewe.
Kwanini baada afisi wa mahakamani kuvichukua alitikisa kichwa.
Tafadhali leteni picha ya J4 na Msemwa tunaelekea Njombe had I Makete
🤣🤣🤣
wewe na umri wako humjui Mbowe- wacha alipe madhambi yake- MOVE ONInapigwa siasa ujue Mbowe akiachiwa leo joto la Siasa litakuwa juu sana so wako tayari kufilisi Nchi kwa kesi yakijinga ili kumzuia Mbowe asiwe huru
Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
Ndugu unatenganishaje cccm na majanga ya nchi hii hawa sindio wako mamlakani kabla na tangu uhuruCCM hawana tatizo,tatizo ni Msajili,IGP,Mahela na Subfer.hawa wakiwa wanasimamia sheria hata hiyo misafara hungeiona kwakuwa pesa ingebanwa.
Nawao kwakuwa wameona sio issue lkn kuwagomea watakukutanisha na joka lenye kiu ya damu utaisha tuSASA sinemevurunda.nifanyeje
Hoja yako ni ipiNikweli yale maneno mbowe gaidi siyaoni humu kabisaaaa
Aisee..!!wewe na umri wako humjui Mbowe- wacha alipe madhambi yake- MOVE ON
Yesu alitetewa na watu wachache sana kwenye mateso yake kuliko yule mwizi.
Pole sana ndugu yangu maana unatokwa povu hapa hata sijui kama Hangaya anakujuaYesu alitetewa na watu wachache sana kwenye mateso yake kuliko yule mwizi.
kwa wingi wenu mnavyo mtetea mbowe- atakuwa Giadi tu
Unamzidi jaji kujua taratibu za mahakama eti ... U umpumbafu sanaWewe nawe ni kasuku
1. ni makosa kuwa na diary hasa kwa polisi
2. je alipokuwa kizimbani alikuwa akitoa ushahidi kutoka kwenye diary na hiyo simu
3. je upo utaratibu wa kuwapekuwa mashahidi kabla ya kuingia kwenye kizimba cha kutolea ushahidi
Mtumie akili kidogo
Pole sana ndugu yangu maana unatokwa povu hapa hata sijui kama Hangaya anakujua
Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
Acha kuudhalilisha UUSTADHI,tafuta tafsiri sahihi la neno USTADHISwali hapa ni kwamba, ni mashahidi wangapi waliingia na Madesa? Mungu aendelee kutusaidia kuyashuhudia kwa macho ya nyama Haya maovu ya akina Ustadhi Kingai
Jaji aliwauliza- JE TUNAO UTARATIBU WA KUWAPEKUWA MASHAHIDI?Unamzidi jaji kujua taratibu za mahakama eti ... U umpumbafu sana
Samahani Sheikh sikua na nia mbaya ndugu yanguAcha kuudhalilisha UUSTADHI,tafuta tafsiri sahihi la neno USTADHI
Huyo hawezi kua ustadhi EVER
Hivi ni kweli kuwa ccm wote ni vilaza wasiojua hata kusoma na kuandika?Mbowe ni gaidi ndiyo maana kwa kumtetea Kibatala anayeendeshwa na prof Jay amekaa mlangoni kuzuia ushahidi usipokelewe- ila hataweza kumuojoa Mbowe
Tafuta tafsiri sahihi ya neno SHEHK kwanzaSamahani Sheikh sikua na nia mbaya ndugu yangu