Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe na wenzake, kesi imeahirishwa mpaka 15, Nov 2021

Kuna jamaa hapo pichani tumesoma naye chuo na alikuwa Ana feli Sana Ni mbishi Sana na kweli alikuwa mwanasiasa kutwa kuiponda ccm..kweli asee mpk kwenye kesi ameenda Basi anaipenda cdm toka moyoni nimeamini Leo
Taja majina yake na yako tupime kama kweli mlisoma pamoja, otherwise, Acha uongo!
 
Reactions: y-n
Mbona shahidi Kama karirishwa. Ndio maana wakiuliwa maswali hawategemei maswali magumu maana wamekaririshwa. Home Boy wangu kuwa mkweli. Hawajamaa hawajaletwa hapo central ...au umeahidiwa cheo? Ila mwisho WA uongo NI ubaya. Makinika. Tambua kuwa unajijengea uadui mkubwa Sana ..Leo Una nguvu he kesho yako waijua?
 
UNAWEZAJE KUSHINDANA NA MWENYE NYUMBA UKIOLEWA LAZIMA UTOE SASA WEWE UNALETA UJANJAHAPA MUMEO ANAKUITA IMESHASIMAMA HUKO KAINAME
HIVI huwa unaona raha gani kutetea UOZO kila kukicha? Mwenzio Ndugai ameshahamaki kwa bunge lake kuitwa dhaifu.
 
ERYTHROCYTE VIPI WAZUNGU SIKU HIZI WAMESHAKATA PUMZI YA KUSHABIKIA UGAIDI WA MBOWE?
Wazungu wana akili kubwa sana. Walikuwa wanataka kusikia ushaidi muhimu wa shaidi wa kwanza kwani kiini cha kesi yote kinapatikana kwa shaidi wa kwanza

Sasa shaidi wa kwanza na ndio aliyefungua amekuja na ushaidi wa kichekesho. Wazungu wameshajua hapo hakuna kesi. Sasahivi wanasubilia matokeo ya hizo komedi zenu mahakamani ili na wao wafanye mambo yao
 
Wale tuliambiwa na makamanda ni mabalozi wako wapi?
Au baada ya kujua mbivu na mbichi wameamua kila mtu abebe mzigo wake.
Kwasababu wameshaona hapo hakuna kesi. Wanasubilia hukumu tu, kama itakuwa ya haki watatulia na kama haitakuwa ya haki wafanye mambo yao
 
HIVI huwa unaona raha gani kutetea UOZO kila kukicha? Mwenzio Ndugai ameshahamaki kwa bunge lake kuitwa dhaifu.
Wako wapi AKINA Makinda.na wengineo...umwite MWENYE nyumba, anaanyaanya Tu Bungeni .kujimwambafai..Mnakinishe asijisahau KILA MTU. Atapita watakuja na wataviacha wengine WAJE. Yuko wapi aliyetuanzishia upoteaji watu? Yuko wapi Mzee WA ruksa..Yuko wapi Swahiba yangu Mhenga mwenzangu WA Msoga. Naye Ndungai atapita.. awe MAKINI asije olewa akitoka kwenye kiti hicho.
 
Suley2019
Uandishi wako unachanganya sana hauna mtiririko mzuri km waandish wengine wanao ripot kwa maandishi moja kwa moja kutoka mahakmn.
Doo punguza haraka.
 
Uwasilishaji wa leo siyo mzuri. Majibizano yamechanganywa sana, tofauti na siku nyingine.
 
Muda wa Kazi ofisini huwa Ni saa mbili Sasa kwanini mahakamani kila siku wanaingia Saa tano?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…