pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Haki itashinda dhidi ya uovu kwani hata shetani hajaweza kushinda watu wa Mungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AMEN, AMEN.Haki itashinda dhidi ya uovu kwani hata shetani hajaweza kushinda watu wa Mungu
Refa si apulize kipenga kumaliza mchezo
Ngoja kwanza tuone Polisi, Mahakama watafanya nini.Hivi wale walioiba nyaraka toka kwenye stoo ya Mahakama bila mahakama kujua wakaja nayo mahakamani wanachukuliwa hatua gani?
Mtu kakamatwa na nyaraka ya wizi mahakamani si wangeanza na huyoHivi wale walioiba nyaraka toka kwenye stoo ya Mahakama bila mahakama kujua wakaja nayo mahakamani wanachukuliwa hatua gani?
Haiwezi kufutwa nyie subrini tu nyundo za mvua 30 kwa gaidi mboweWanamleta shahidi mwingine wakati hawajamalizana na Jumanne?
Hii kesi itafutwa ila wanashindwa namna ya kuanza kufuta maana kuna madudu mengi
Mashahidi ni PoliCCMNgoja kwanza tuone Polisi, Mahakama watafanya nini.
Gaidi Ni yule anayefanya Mambo haramu hata mbele ya mahakamawamwche gaidi?
Huyo ndo alikuja na nyaraka iliyoibwa au?Wanamleta shahidi mwingine wakati hawajamalizana na Jumanne?
Hii kesi itafutwa ila wanashindwa namna ya kuanza kufuta maana kuna madudu mengi
You wish!Haiwezi kufutwa nyie subrini tu nyundo za mvua 30 kwa gaidi mbowe
Ndo yeye,yule wa janaHuyo ndo alikuja na nyaraka iliyoibwa au?
Hayo unaleta weweKuna ujinga ambao watu hufikiria k uwa kanzu ni vazi la Kiislamu. Kanzu ni vazi la utamaduni wa mashariki ya kati, haijalishi atakayelivaa ni mpagani au dini nyingine, ni vazi la mashariki ya kati.
kaoshe uliweYaani umekaa chini kujitutumua na kutumia akili na energy nyingi halafu unaandika upuuzi kama huu.
Ndugu yangu,UNAWEZAJE KUSHINDANA NA MWENYE NYUMBA UKIOLEWA LAZIMA UTOE SASA WEWE UNALETA UJANJAHAPA MUMEO ANAKUITA IMESHASIMAMA HUKO KAINAME
Zaidi ya hapo ungesema nini wakati akili imeishia kwenye ujingakaoshe uliwe