Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Hii kesi sasa imefika patamu... Askari Shahidi kaingiaje na kibuti?? Kwa hiyo alikuwa anapewa nondo kwenye simu anaweka kwenye diary au alikuwa anatoa kwenye diary anaweka kwenye simu??
NB: Polisi wa Tanzania wana uwezo mdogo Sana. Nakubaliana na Waziri Simbachawene. Wanapaswa kubeba silaha na kuwepo kwenye lindo!
Khaaah!
NB: Polisi wa Tanzania wana uwezo mdogo Sana. Nakubaliana na Waziri Simbachawene. Wanapaswa kubeba silaha na kuwepo kwenye lindo!
Khaaah!