Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe - Novemba 18, 2021. Kesi imeahirishwa hadi Novemba 22, 2021

Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe - Novemba 18, 2021. Kesi imeahirishwa hadi Novemba 22, 2021

Mkuu, hata hivyo wanajitahidi sana! Sio kazi rahisi ki-hivyo!
Ndio na huyo anayekosoa ingekuwa yeye siajabu angemaliza kazi hii hatakesho kabsa, kusoma si sawa na kusiliza uandike
 
Mbowe na genge lake wanapaswa wawe na nidhamu ya kuheshimu Mahakama.

Kama wataendelea kuleta mchezo wa kitoto wa kuichafua mahakama kwa kuleta Sarakasi zisizo na kichwa wala miguu watajiweka pabaya sana.

Jaji wa kwanza walimchafua na kumkataa.

Jaji wa pili alijitoa kwa sababu ya majukumu lkn walimchafua na kumkejeli.

Sasa Jaji huyu watatu naye wameanza kumchafua na kumkejeli.

Wanacho kifanya mawakili na wafuasi w mboe ni kutaka kuivuruga mahakama au kuishinikiza ifanye maamuzi kama wanavyo taka wao na sio vinginevyo.

Mahakama haipaswi kuingia ktk mtego huo wanao ufanya hao watuhumiwa na wafuasi wao.
Mbona mama yako alileta mzaha Kwa Baba yako akakupata uliyekosa heshima. Chunga domo lako. Likanye kutopoka.
 
Yaani haviishi! Matokeo yake, jamaa wanasota ndani bila sababu ya msingi. Wangekuwa WAMEDHAMINIKA, ingekuwa nafuu!

Sijui aliyebuni issue hii anajisikiaje, anapoona wenzie wanateseka kwa UBUNIFU wake!
Nchi haina maji haina umeme, haina hela, mafuta yamebaki ya siku 2 tu, yote hii ni laana ya kutokutenda haki
Mama SSH tenda haki nchi ibarikiwe
Mama Naona anguko kuu laja
 
Mtobesya kiboko hivi ikitokea mie kabuku nisiyeweza kuwapata mawakili kama hawa nikabambikiwa kesi kama ntachomoka kweli
 
Mbowe na genge lake wanapaswa wawe na nidhamu ya kuheshimu Mahakama.

Kama wataendelea kuleta mchezo wa kitoto wa kuichafua mahakama kwa kuleta Sarakasi zisizo na kichwa wala miguu watajiweka pabaya sana.

Jaji wa kwanza walimchafua na kumkataa.

Jaji wa pili alijitoa kwa sababu ya majukumu lkn walimchafua na kumkejeli.

Sasa Jaji huyu watatu naye wameanza kumchafua na kumkejeli.

Wanacho kifanya mawakili na wafuasi w mboe ni kutaka kuivuruga mahakama au kuishinikiza ifanye maamuzi kama wanavyo taka wao na sio vinginevyo.

Mahakama haipaswi kuingia ktk mtego huo wanao ufanya hao watuhumiwa na wafuasi wao.
jifunze kusoma ,kutafakari na kuelewa ndipo ujibu hoja.je ni wapi kwenye hoja za nawakili wa utetezi waneilazimisha mahakama kufuata matakwa yao? wanachokifanya ni kujenga hoja za kisheria za kuishawishi siyo kuilazimisha
 
3 Mtobesya : kama Ilivyo Kwenye Main Trial, Mwenye Jukumu la Kutaka Kuthibitisha Kama yule aliteswa au Lah ni Prosecutions, Kama ndiyo hivyo Mheshimiwa Jaji watatakiwa ku' lead Evidence Kuprove na Equally kwa mshtakiwa nae atatakiwa kulead Evidence kama alitoa Maelekezo Kwa hiari ama lah
Mtobesya : Kama Walikuwa na Order Ya Kuomba Kielelezo, hawakupaswa Kuomba Kwenye Proceedings hizi, Ni Ukiukwaji Mkubwa wa Taratibu na Mahakama Isingeweza Kuombwa Kitu ambacho Kimechukuliwa Kwenye Proceedings zingine na Kama Kweli walifanya hivyo basi Taratibu zingefuatwa kwa Mujibu wa 353 na Muongozo wa Mahakama. Na Kaka zangu hawa ni Mawakili Wasomi siwezi Kuwafundisha, Lakini Hilo halikufanyika na Kama Kilifanyika Basi Kimekiuka Utaratibu ninaousema.

Mheshimiwa Jaji Kama Kweli Proceedings hizi ni sawa Kwanini wanaomba Mahakama Ipokee tena Kwa mara ya pili Kwenye Shauri hili Kama Proceedings zote ni sawa na Kesi ni ileile? Kitendo cha Kuomba Ipokelewe tena na Mahakama ni Ushahidi Tosha Kwamba hili ni Shauri tofauti

Upande wa utetezi siku ya leo pia umekuja na hoja zinazo i-move mahakama na sisi jopo la wasikilizaji wa kijiditali huku kijiweni, ngoja tuone siku ya leo itaishaje ktk mwenendo wa kesi hii ya kihistoria.
 
Back
Top Bottom