Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Unawalipa au mseleleko?waleta habari wanahoma ya vipindi
Mkuu, hata hivyo wanajitahidi sana! Sio kazi rahisi ki-hivyo!waleta habari wanahoma ya vipindi
hapo kuna law school ama low school mkuu ?Mkuu ulitoka law school mwaka gani?
Salama kabisa kabavicha!MATAGA habari yako?
Ndio na huyo anayekosoa ingekuwa yeye siajabu angemaliza kazi hii hatakesho kabsa, kusoma si sawa na kusiliza uandikeMkuu, hata hivyo wanajitahidi sana! Sio kazi rahisi ki-hivyo!
Wewe ndiye mwenyekiti wa MATAGA Taifa au tumngoje mwingine?Salama kabisa kabavicha!
Mbona mama yako alileta mzaha Kwa Baba yako akakupata uliyekosa heshima. Chunga domo lako. Likanye kutopoka.Mbowe na genge lake wanapaswa wawe na nidhamu ya kuheshimu Mahakama.
Kama wataendelea kuleta mchezo wa kitoto wa kuichafua mahakama kwa kuleta Sarakasi zisizo na kichwa wala miguu watajiweka pabaya sana.
Jaji wa kwanza walimchafua na kumkataa.
Jaji wa pili alijitoa kwa sababu ya majukumu lkn walimchafua na kumkejeli.
Sasa Jaji huyu watatu naye wameanza kumchafua na kumkejeli.
Wanacho kifanya mawakili na wafuasi w mboe ni kutaka kuivuruga mahakama au kuishinikiza ifanye maamuzi kama wanavyo taka wao na sio vinginevyo.
Mahakama haipaswi kuingia ktk mtego huo wanao ufanya hao watuhumiwa na wafuasi wao.
Yeye mwenyewe buku saba fc, atalipa na nini?!Unawalipa au mseleleko?
Halafu wanaenda kusali/kuswali? DuhKibatala ananinong'oneza inakuwa ni Review ambayo haijafuata Utaratibu. Hapo Ndipo tunasema Wenzetu hawakuelewa Maana ya Funtus Officio
Nchi haina maji haina umeme, haina hela, mafuta yamebaki ya siku 2 tu, yote hii ni laana ya kutokutenda hakiYaani haviishi! Matokeo yake, jamaa wanasota ndani bila sababu ya msingi. Wangekuwa WAMEDHAMINIKA, ingekuwa nafuu!
Sijui aliyebuni issue hii anajisikiaje, anapoona wenzie wanateseka kwa UBUNIFU wake!
Huyo jamaa ni mwenyeji wa mkoa gani mkuu?Mtobesya anajua sana kunyoosha maelezo
jifunze kusoma ,kutafakari na kuelewa ndipo ujibu hoja.je ni wapi kwenye hoja za nawakili wa utetezi waneilazimisha mahakama kufuata matakwa yao? wanachokifanya ni kujenga hoja za kisheria za kuishawishi siyo kuilazimishaMbowe na genge lake wanapaswa wawe na nidhamu ya kuheshimu Mahakama.
Kama wataendelea kuleta mchezo wa kitoto wa kuichafua mahakama kwa kuleta Sarakasi zisizo na kichwa wala miguu watajiweka pabaya sana.
Jaji wa kwanza walimchafua na kumkataa.
Jaji wa pili alijitoa kwa sababu ya majukumu lkn walimchafua na kumkejeli.
Sasa Jaji huyu watatu naye wameanza kumchafua na kumkejeli.
Wanacho kifanya mawakili na wafuasi w mboe ni kutaka kuivuruga mahakama au kuishinikiza ifanye maamuzi kama wanavyo taka wao na sio vinginevyo.
Mahakama haipaswi kuingia ktk mtego huo wanao ufanya hao watuhumiwa na wafuasi wao.
Nilitaka kuuliza hili swali pia. Asante sana mkuu. Anayejua atusaidie ili tumfahamuHuyo jamaa ni mwenyeji wa mkoa gani mkuu?
3 Mtobesya : kama Ilivyo Kwenye Main Trial, Mwenye Jukumu la Kutaka Kuthibitisha Kama yule aliteswa au Lah ni Prosecutions, Kama ndiyo hivyo Mheshimiwa Jaji watatakiwa ku' lead Evidence Kuprove na Equally kwa mshtakiwa nae atatakiwa kulead Evidence kama alitoa Maelekezo Kwa hiari ama lah
Mtobesya : Kama Walikuwa na Order Ya Kuomba Kielelezo, hawakupaswa Kuomba Kwenye Proceedings hizi, Ni Ukiukwaji Mkubwa wa Taratibu na Mahakama Isingeweza Kuombwa Kitu ambacho Kimechukuliwa Kwenye Proceedings zingine na Kama Kweli walifanya hivyo basi Taratibu zingefuatwa kwa Mujibu wa 353 na Muongozo wa Mahakama. Na Kaka zangu hawa ni Mawakili Wasomi siwezi Kuwafundisha, Lakini Hilo halikufanyika na Kama Kilifanyika Basi Kimekiuka Utaratibu ninaousema.
Mheshimiwa Jaji Kama Kweli Proceedings hizi ni sawa Kwanini wanaomba Mahakama Ipokee tena Kwa mara ya pili Kwenye Shauri hili Kama Proceedings zote ni sawa na Kesi ni ileile? Kitendo cha Kuomba Ipokelewe tena na Mahakama ni Ushahidi Tosha Kwamba hili ni Shauri tofauti
Tunataraji lolote, hii ndio BongoTusubiri vioja vingine kutoka mahakamani.