Utumbo tupu , kwahyo hata simu ya Urio iliyo chunguza na police ikaja na report kwamba hakuna viashiria vya uhalifu unaipindisha?Imagine kwenda kuwa mlinzi wa mtu anayesemekana ana viashiria vya ugaidi! Better yet, Luteni Urio aliambiwa na ^walinzi^ hao kwamba kazi yao imebadilika kutoka kuwa ya ulinzi, na sasa ni ya kwenda kumla mtu kichwa huko Moshi...
Hapana mkuu! Huu ushahidi ni ngumu kumesa!😄
Halafu anasema baada tu ya kumtafutia Mbowe watu wa kwenda kufanya uhalifu, Mbowe akawa hapokei tena simu zake.
Yani mtu ambaye umemwambia siri zako, na akakutafutia watu wa kwenda kufanya uhalifu, umkaushie halafu uendelee na mipango hiyo ya kihalifu, as if hatofahamu na kwenda kutoa taarifa?
Maana huo u “homeboy” Mbowe aliachana nao baada ya kumwambia siri zake za kufanya uhalifu na baada ya kumtafutia wanajeshi wa kufanya uhalifu? Gimme a break dog 😄
UJIRA? Nani anajua walichozungumza na kupeana face-to-face na hao ^vijana wa kazi^ hadi wao wenyewe wakaridhia kwenda kutekeleza misheni chafu kule Moshi?Hii kesi imepangwa kizembe mnoo! “Loopholes everywhere”, subiri mawakili wa utetezi watakavyomkaanga na mafuta yake yeye mwenyewe!
Kwanza ni upuuzi wa hali ya juu kuwatoa kina Khalfan Bwire na wenzake kwenye shughuli zao halali za kujipatia kipato na kuwadanganya kuwa wanaenda kuwa walinzi wa Mbowe.
Halafu huo ujira wa kumdhuru Sabaya ni upi? Huyu shahidi ni “the most supid son of a bitch I’ve ever heard from to be honest”
Luteni ahahidiwe cheo kwani mbowe aligombea urais?Evidently, FM alikuwa ana-avoid simu ili kuficha ushahidi wa baadaye mambo yakisaganuka! Alikuwa anataka anakopita asiache nyayo. Ukifuatilia namna ya mawasiliano yake na Luteni Urio, utagundua kwamba...
Wewe Mjingawewe Acha kulazimisha dhamira yako Ndiyo iwe sheria.
Sheria gani inawazuia wanajeshi waliostaafu/kufukuzwa wasitafute kazi nyingine yoyote iliyo halali....
Wewe Mjingawewe Acha kulazimisha dhamira yako Ndiyo iwe sheria.
Sheria gani inawazuia wanajeshi waliostaafu/kufukuzwa wasitafute kazi nyingine yoyote iliyo halali...
Kesi ya mchongo wa kitoto kabisa sijapata kuona! Afiche ushahidi gani na wakati alimtumia pesa? Tena kuna wakati kwa kutumia namba yake kabisa?Evidently, FM alikuwa ana-avoid simu ili kuficha ushahidi wa baadaye mambo yakisaganuka! Alikuwa anataka anakopita asiache nyayo. Ukifuatilia namna ya mawasiliano yake na Luteni Urio, utagundua kwamba mara nyingi alikuwa anapendelea kutumia laini tofautitofauti za simu zisizo zake. ^Sikuweza kupokea simu zako kwa sababu ya (...) (...) (...). Nadhani unanielewa...
Sasa uhuni wa urio ni upi?
Kumtafutia mbowe vijana?
Au kumchoma mbowe?
Mbona tangu mwanzo wa hii kesi nilisema mbowe alibugi kufanya mipango na watu wa jeshi.
Shida mnaendeshwa na ushabiki wa vyama.
hao watu Wana viapo.
Hakuna ushahidi wa sms hata moja unataka hayo maneno ya kwamba walichat hivyo hizo ni story za urioKazi ya halali kwenda kulipua vituo vya mafuta,kuchoma masoko,kukata miti?
Hivi mnasoma lakini hayo yaliyoandikwa hapo juu?au mnakurupuka tu kukoment?
Ebu Soma kwanza kilichoandikwa usikurupuke.
Mbowe kafanya mawasiliano kibao na kamanda urio na huyo huyo ndo kaenda kumchoma.
Hivyo vilipuzi viko wapi? Hayo mashoka yako wapi?? Unawaza kwa kutumia makalioKazi ya halali kwenda kulipua vituo vya mafuta,kuchoma masoko,kukata miti?
Hivi mnasoma lakini hayo yaliyoandikwa hapo juu?au mnakurupuka tu kukoment...
Kama Urio anachosema Ni kweli basi kuna shida sehemu. Huwezi kujihusisha na mwanajeshi Kama wewe ni kiongozi wa upinzani. Hili liwe somo kwa upinzani na Viongozi wote stick on your own don't involve state agencies. Mbowe Kama aliwasiliana kwa njia yeyote na Urio kuhusu mpango wowote basi alibugi Sana. Kwanini asingetumia red brigde au vijana was chama.
Hakuna ushahidi wa sms hata moja unataka hayo maneno ya kwamba walichat hivyo hizo ni story za urio
Hata aliyoyaongea na kina Mohamed baada ya kufika Moshi hayajathibitishwa na kitu chochote zaidi ya kauli zake
Urio kaeleza wazi hela zilizotumwa ni kwaajili ya usafiri au alimaanisha niza kufadhili ugaidi?Umejiuliza mbowe aliki anamtumia kamanda urio hela za kazi gani?
Hivyo vilipuzi viko wapi? Hayo mashoka yako wapi?? Unawaza kwa kutumia makalio
Urio kaeleza wazi hela zilizotumwa ni kwaajili ya usafiri au alimaanisha niza kufadhili ugaidi?
Hao watu wengine Mbowe angeenda kuwatoa kuzimu na wangekuwa wanafanyia mipango yao Jupita ambako polisi na usalama wa taifa hawafiki?Yeye anasema aliambiwa atafute vijana.
Anasema alishindwa kukataa kwa sababu za kiusalama.
Anasema hata Kama angemkatalia mbowe kumtafutia vijana mbowe angeweza kuwatafuta wengine.
Kwa hyo kamanda anasema angekuwa hajasaidia kuilinda nchi.
Kwa hyo alikubali ili kumuwekea mtego Mbowe.
Hao watu wengine Mbowe angeenda kuwatoa kuzimu na wangekuwa wanafanyia mipango yao Jupita ambako polisi na usalama wa taifa hawafiki?
Ushahidi wa Urio sio kwa ajili ya kumlinda yeye, ni ili Mbowe na walinzi wake wafungwe. Kalaghabao.Hii ni pointi kubwa sana inayomlinda Luteni Urio!
Hii kesi ni ya Urio na MboweUmeongea point.
Ila Mimi na wewe hatujui Kama NI kweli au si kweli.
Swali linakuja mbowe alimtafuta urio kwa ajili ya nini?