Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe 26 Jan 2022. Shahidi wa 12 Luteni Denis Urio kuendelea kutoa ushahidi wake

Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe 26 Jan 2022. Shahidi wa 12 Luteni Denis Urio kuendelea kutoa ushahidi wake

ishia hapo hapo.
Ila huo ndo ukweli.
Unatafuta nini na wanajeshi Kama sio kukuchoma?
najua hauwezi kuyajua haya Mambo uenda bado mtoto mdogo.
Nikuulize swali dogo kwanini mtu wa kwanza kumchoma mbowe ni kamanda urio?
Huku Quantico, FBI academy hii tunaita, STING OPERATION gone well[emoji2371]
 
Kwani MAELEZO ya kamanda urio anasema mbowe alitaka walinzi binafsi au vijana wakulipua vituo vya mafuta n.k?
Ndio kazi ya mahakama kubaini kama kweli Mbowe aliwahitaji hao akina Adamoo Kwa ajili ya kufanya uhalifu au la!
So tumekubaliana kuwa mtu kuwa na walinzi binafsi sio kosa hata kama hao walinzi ni makomandoo waliofukuzwa.kosa linakuja kama Kuna njama za uhalifu!Sasa tuanzie hapo na tuendelee kufuatilia kesi hii!
 
ulitoa hukumu wewe kuwa waliteswa?
Sizungumzii hukumu hapa na mpaka sasa hakuna hukumu iliyotoka!Hukumu hutoka mwisho wa kesi!
Kitendo tu Cha akina Adamoo kuwakana Jamhuri na ushahidi wao,kimekuprove wrong!
 
Kwa hyo ulitegemea kamanda urio angemtetea mbowe?
Mbona urio anasema yeye ndo kampigia simu DCI boaz?
Sijasema atamtetea Mbowe,huyo ni shahidi wa upande wa mashtaka!Ndio ushahidi wake utapimwa!Ni maneno yake dhidi ya Mbowe na hao akina Adamoo!
Akina Adamoo nao watapata nafasi ya kusikilizwa!
 
Kwa jinsi urio anavyotoa maelezo ni dhahili kabisa hii kesi imepikwa na urio ni shahidi wa mchongo….jwtz wana kitengo chao cha interenjia,kwann urio hakwenda kutoa taarifa huko au kwa viongozi wake ili hao viongozi wake wawasiliane na polisi!?

Angekua mwalimu ningesema sawa,lakini comandoo wa jwtz unapata taarifa kama hizo unakimbia kutoa taarifa polisi bila kuwajurisha viongozi wako huo ni uongo kabisa.

Alipata wapi namba ya dci boaz!?walikua wanajua kabla!?
Jeshi halisjughuliki na uhalifu,, law enforcement ni kazi ya polisi
 
umejuaje maana tunataka kesi iishe afungwe tumechoka na bangi zake

What is a tactical appreciation?


The appreciation is essentially the process whereby operational information is collected and then used to produce outline plans. The references cover the appreciation as it relates to strategic, tactical, and administrative problems at formation level.
Wewe malaya siku utakayojitambua ndiyo siku utaanza kuona mafanikio yako Mungu aliyokupangia. Haikusaidii chochote wewe na familia yako kuja hapa kupotosha hata kile kinachoonekana. Wakati mwingine tunajitafutia laana na mikosi kwa vijisenti vidogo tu. Tubu na jirekebishe la sivyo utaendelea kusota Maisha yako yote
 
Kesi itabakia kwa mbowe tu hao tayari wanatolewa kwenye mashtaka kwani walitumiwa tu, tena serikali yaani agande Boaz, Afande kigai na afande swila na ukiangalia hii kesi IPO kwa huyu shahidi komandoo Urio

Any way ngoja tuone kesho mambo yataendaje,,,sababu desh desh desh so inajua....
 
Reallocation is equivalent to poor planning! Hivi viraka viraka katika hii case japo mi si mwanasheria, naona kabisa ina viashiria vingi vya uongo! Haikupangwa vizuri, na inaanika uonevu wa Serikali dhidi ya watu wake. Njia inayotumika ni ya kuzimu, kufanikisha ukweli usiyokuwa wa kweli.

Eee Mungu simama na waja wako. Haiwezekani hata mara moja Mwanajeshi akashirikiana na Askari Polisi kutafuta watu wa kufanikisha Ugaidi na kuifanya nchi isitawalike. Alafu akawaacha hao watu wa kufanya Ugaidi bila uangalizi wowote, na kumonitor kwa kutumia simu tu. Haiji akilini! Kwamba Serikali iliamua kutengeneza watu wa kufanya Ugaidi na Gaidi Mkuu kwa Maslahi ya nani Sasa!!!!


Sterling kauawa Kabla ya Pigo la Mwisho! Shida ni kwamba hata Trailer tu iliharibu mambo tangu kwa Mama wa Glocery na Mlima mbogamboga na wale wa PGO! Nia ya Serikali ingeishia hapo hapo, lkn kama ni kumtia mtu hatiani kwa kesi hiyo, itakuwa ni nguvu tu ya Serikali na siyo utekelezaji wa Sheria.

Mtunzi kafeli kuimalizia vizuri, japo naamini Moses Lijenje nae atakuja kutoa ushahidi namna alivyoamua kujiondoa kwenye mpango wa Ugaidi baada ya kugundua nia ovu ya Mbowe! Maana hisia zinaniambia kuwa mko nae anafundishwa Cha kuja kusema. Ni suala la muda tu, Mungu atasimama na mwenye haki.
Hii kitu hata enzi za akina mohamed Tamimu kutaka kupindua nchi,, mpango ulifahamika miezi kadhaa kabla, na group likawa inflitrated,,
Normal procedure jomba...
 
Shida NI huyo kamanda urio.
Maana bila yeye kumpigia simu DCI boaz haya yasingetokea.
Kwa hyo kamanda urio ndo anajua ukweli
Pili hauwezi kutafuta walinzi wanajeshi ikizingatiwa wewe NI kiongozi wa upinzani.hao Wana viapo vyao vya UTII .
Hao sio watu wa kufanya nao urafiki
Ndio kazi ya mahakama kubaini kama kweli Mbowe aliwahitaji hao akina Adamoo Kwa ajili ya kufanya uhalifu au la!
So tumekubaliana kuwa mtu kuwa na walinzi binafsi sio kosa hata kama hao walinzi ni makomandoo waliofukuzwa.kosa linakuja kama Kuna njama za uhalifu!Sasa tuanzie hapo na tuendelee kufuatilia kesi hii!
 
Stering wa mchezo huu NI kamanda urio.huyo adamoo sio kitu chochote.
Urio ndo atakeyewatia hatiani.
Sizungumzii hukumu hapa na mpaka sasa hakuna hukumu iliyotoka!Hukumu hutoka mwisho wa kesi!
Kitendo tu Cha akina Adamoo kuwakana Jamhuri na ushahidi wao,kimekuprove wrong!
 
Hapana mkuu! Huu ushahidi ni ngumu kumesa![emoji1]

Halafu anasema baada tu ya kumtafutia Mbowe watu wa kwenda kufanya uhalifu, Mbowe akawa hapokei tena simu zake.

Yani mtu ambaye umemwambia siri zako, na akakutafutia watu wa kwenda kufanya uhalifu, umkaushie halafu uendelee na mipango hiyo ya kihalifu, as if hatofahamu na kwenda kutoa taarifa?

Maana huo u “homeboy” Mbowe aliachana nao baada ya kumwambia siri zake za kufanya uhalifu na baada ya kumtafutia wanajeshi wa kufanya uhalifu? Gimme a break dog [emoji1]

Hii kesi imepangwa kizembe mnoo! “Loopholes everywhere”, subiri mawakili wa utetezi watakavyomkaanga na mafuta yake yeye mwenyewe!

Kwanza ni upuuzi wa hali ya juu kuwatoa kina Khalfan Bwire na wenzake kwenye shughuli zao halali za kujipatia kipato na kuwadanganya kuwa wanaenda kuwa walinzi wa Mbowe.

Halafu huo ujira wa kumdhuru Sabaya ni upi? Huyu shahidi ni “the most supid son of a bitch I’ve ever heard from to be honest”
Alikuja kusema badae kua FM alimtumia message Telegram kumwambia kwanini hapokei simu yake
 
Tujiulize kwanza mbowe alikuwa anakutana na urio kwa ajili ya nini?
alikuwa anampigia simu kwa ajili ya nini ?
Alimtumia hela kamanda urio kwa ajili ya nini?
Tukifanya reconstruction, kama hii ishu mi kweli, inaonekana chairman alikua ameathirika na kuvunjiwa bilicana, kuharibiwa shamba lake na nasikia biashara ziliharibika,,
We can find a motive here[emoji134][emoji134]
 
Ulishajiuliza kwanini kamanda urio awe shahidi wa jamhuri wakati yeye ndie aliyekuwa akipanga mipango na mbowe ?mpaka akawa anatumiwa hela?
Sijasema atamtetea Mbowe,huyo ni shahidi wa upande wa mashtaka!Ndio ushahidi wake utapimwa!Ni maneno yake dhidi ya Mbowe na hao akina Adamoo!
Akina Adamoo nao watapata nafasi ya kusikilizwa!
 
Shida NI huyo kamanda urio.
Maana bila yeye kumpigia simu DCI boaz haya yasingetokea.
Kwa hyo kamanda urio ndo anajua ukweli
Pili hauwezi kutafuta walinzi wanajeshi ikizingatiwa wewe NI kiongozi wa upinzani.hao Wana viapo vyao vya UTII .
Hao sio watu wa kufanya nao urafiki
Unarudi kulekule,ndio hapo kwenye doubt!Urio alikuwa active soldier!Inawezekanaje Mbowe amwambie amtafutie watu wa kutenda uhalifu?Wewe Huoni Kuna dosari hapo?It's either Mbowe ni Mjinga au Urio anasema uongo na kwamba aliambiwa amtafutie walinzi!
Pili,yaani Mbowe baada ya kuwapata hao wahalifu(tuassume alitaka kutafutiwa watu wa kutenda uhalifu),iweje akate mawasiliano na Urio?Mimi nilitegemea Mbowe angemuhonga Urio Ili akae kimya eti badala yake anakata mawasiliano na mtu anayejua mipango yake ya kuchoma vituo vya mafuta?Inazingua akilini?

Nashawishika kuamini ushahidi huu wa Urio ni wa kuchongwa!Mbowe asingeweza kumwambia active soldier ambaye hamjui vizuri kuhusu mipango yake ya kuvuruga amani ya nchi!
 
Ulishajiuliza kwanini kamanda urio awe shahidi wa jamhuri wakati yeye ndie aliyekuwa akipanga mipango na mbowe ?mpaka akawa anatumiwa hela?
Simple tu,hukusikia awali kwenye kesi ndogo akina Adamoo wakisema walimuona Urio akiteswa?Kumbuka hii ni kabla ya ushahidi huu wa Urio!
Kesi hii ulifuatilia Toka mwanzo na hukukosa hata siku Moja?
 
Back
Top Bottom