valet de chambre
JF-Expert Member
- Mar 12, 2017
- 1,044
- 1,112
Mkuu labda Urio alikuwa na salio zaidi ndo maana ikatoka hiyo figure .Shahidi alinichanganya aliposema alitumiwa kwenye cm tshs 500,000/= alipoenda kuitoa akapewa cash tshs 499,000/=.
Kuwa makato yalikuwa tshs buku pekee. Hayo makato siyo hapa bongo,au labda kwa vile ni cm ya luten komandoo
aa baki hivyo hivyo.
Wenzenu wanatumia huu upumbavu wenu kuwakandamiza.
Kesi imetengenezwa vizuri na stering ndo huyo kamanda urio.
Alimpigia DCI boaz simu .
Kazi NI kwako
Una nafasi mbili- ama uwe shahidi au uwe wakili badala ya Kibatala ila hutaweza muokoa MboweKuna jambo Moja nimeiona,yaani Mbowe amtafute Urio halafu amwambie amtafutie watu wa kutenda uhalifu!Halafu mara baada ya watu hao kupatikana,Urio akawaambia Kuna kazi ya ulinzi Kwa Mbowe(hapo hakusema kuwa ni kazi ya uhalifu).Baada ya Mbowe kupewa hao wanajeshi akakata mawasiliano na Urio!
Swali:Mbowe anawezaje kumpotezea mtu (Urio) ambaye ana Siri yake ya kufanya uhalifu?Mbowe alikuwa ana sababu gani za hadi kumwambia Urio kuwa anahitaji wanajeshi wa kutenda uhalifu,si angeishia kumwomba amtafutie walinzi wanajeshi waliofukuzwa halafu yeye akaenda kuwaset bila Urio kujua mipango?
Kwa maoni yangu,Urio asingeweza kuachwa nje ya mesh na Mbowe,lazima angempa hongo nyingi za hapa na pale Ili aendeleze kuwa royal!
Sasa hii ya Mbowe kumpotezea na kukata mawasiliano naye mara tu baada ya kumpelekea akina Adamoo ndio inatia zaidi mashaka!
Unarudi kulekule,ndio hapo kwenye doubt!Urio alikuwa active soldier!Inawezekanaje Mbowe amwambie amtafutie watu wa kutenda uhalifu?Wewe Huoni Kuna dosari hapo?It's either Mbowe ni Mjinga au Urio anasema uongo na kwamba aliambiwa amtafutie walinzi!
Pili,yaani Mbowe baada ya kuwapata hao wahalifu(tuassume alitaka kutafutiwa watu wa kutenda uhalifu),iweje akate mawasiliano na Urio?Mimi nilitegemea Mbowe angemuhonga Urio Ili akae kimya eti badala yake anakata mawasiliano na mtu anayejua mipango yake ya kuchoma vituo vya mafuta?Inazingua akilini?
Nashawishika kuamini ushahidi huu wa Urio ni wa kuchongwa!Mbowe asingeweza kumwambia active soldier ambaye hamjui vizuri kuhusu mipango yake ya kuvuruga amani ya nchi!
Sasa mnachobisha nini?
wakati mbowe na ulikuwa walikuwa wanapanga kutafuta vijana kwa ajili ya kufanya matukio ya ugaidi .kulipua vituo vya mafuta,kuchoma masoko,kufanya nchi isitawalike n.k
Anatoka vipi hapo?
Hawo mashahdi waliopita akiwemo huyo IT wenu wa mchongo ambaye alikuwa na simu nane hakuonesha na alisema hajaona hayo sasa huyo ataeleta ni mamayo hizo sauti?Sauti alizorekodiwa wakati wanakutana zitawasilishwa.
Maana FM alikataa mazungumzo ya kwenye simu akasahau Kuna voice recorder.
Yajayo yanahuzunisha.
hakuna voice rekodi wakati mfumo unaweza na ulirekodi?Hapa kwenye huu uzi umevamiwa.. Ndio maana utaona kuna comments nyingi zinajirudia.. ..
Nchi yetu ina inteligensia kali sana lakini isiingizwe siasa tuu...ikiingia kila kitu kinaharibika..
ANGALIA OFISI YA CID
Yaani ofisi inapokea taarifa ya mipango ya ugaidi kisha mtoa taarifa anaambiwa we endelea tuu kuwatafuta vijana wa hiyo kazi kisha utakuwa unatutaarifu (hapa wakina Adamoo hawana hatia)
MFUMO WA INTELIGENSI
hapa ilitakiwa Boaz kama kweli kapewa taarifa ni kutafuta askari kanzu (undercover) kisha Urio anapiga simu wameshapatikana.. Then tuma nauli askari kanzu wanaenda Moshi.. Wanakuwa wanampa ulinzi Mbowe pamoja na mipango hiyo ya ugaidi ambayo Urio anasema..
CID kwakweli amekosea sana.. Maana kama kulikuwa na njama za ugaidi hawa askari kanzu wangesoma mchezo wote.. Wangekuwa wanajua nani na nani wapo wapi... Plan iweje... Mikoani sijui Moro.. Iringa.. Kukata miti barabarani nk
MATOKEO YAKE
Hakuna maelezo ya kutosha ya watu hao wanne wangefanyaje huo ugaidi kwa maeneo mbalimbali..
Tutabaki tunabishana humu ndani mpaka kesho kutwa.. Lakini Polisi... Urio wote hawakujipanga na hii issue kama kweli Mbowe alipanga ugaidi..
Extraction za simu zao ni hela kwenda huku na kupokelewa.. Hakuna voice record call kujua kilichozungumzwa
Zaidi ya SMS za happy new year.. Wasalimie nk
HII KESI ITAENDA KUAMULIWA VIZURI COURT OF APPEAL
Ajabu sana awatafutie msala huku akijua watakamatwa sio fair kabisa.Kwahiyo commando anaenda kuwasagia kunguni makomandoo wenzake
Ndivyo alivyofundishwa ni mawakili wake na vitisho juu ili aongee hayo anayoongea yaliyoyakweli hajayagusa kuyaongea kama ushaihidi.Kama kamondoo mwenye cheo Cha Luten anafanya utoto huu nchi yetu haipo salama, yaani mtu unaambiwa Jambo kubwa Kama hili la kuvuruga Amani, unaamua kucheza mchezo wa kua undercover kwenye kikundi kinachopanga kuleta vurugu, then wewe unaenda kufanya recruitment ya watu ambao wameachichwa jeshi kwa utovu wa nidhamu ili wakawe sehemu ya kundi, then kabla ya ushahidi wa kutosha kuhusu hizo habari unaenda kuwakamatisha watu ambao wewe ndo umewashawishi kujiunga. Je, alishindwa vipi kutafuta askari ambao bado ni waadilifu wakawa undercover ili wakaendelee kuufuatilia mtandao mkubwa wa Mbowe ambayo hata yeye alihisi kua anaweza kua ana backup ndio maana akaamua kumkubalia. That is nonsense! Kama kweli hizi njama zilikuwepo hafai kua Luten wa jeshi, Ila Kama game yao unaendelea kuchezwa tuendelee kufuatilia
Hayo ya kumpigia simu huenda ndio kaelekezwa aseme!Kwa hyo baada ya kuteswa ndo urio akampigia Simu DCI boaz?
Hawa akina adamoo na wenzake kimsingi hawana kesi kama hata baada ya kuajiriwa na mbowe waliendelea kuripoti kwa luteni urioAjabu sana awatafutie msala huku akijua watakamatwa sio fair kabisa.
Kingine eti kukata miti wangetumia shoka au chain saw hadi wasionekane.
Nani angeandamana sasa
Kama kweli Mbowe alikuwa na aina hii ya plot basi huo ni ukichaa.
Kwa nini polisi wasingetafuta watu wengi zaidi kumnasa mbowe.
Kama kama kina Bwire walitumiwa kama chambo tangu awali huku Urio akiwa masterplan kwa nini wateswe na washakiwe.
Stering wa mchezo huu NI kamanda urio.huyo adamoo sio kitu chochote.
Urio ndo atakeyewatia hatiani.
Urio na DCI Boaz wote ni wa upande wa mashtaka,kama wameamua kubambika kesi basi wanaweza kusema hata uongo!kipi kilichoanza kutokea kuteswa kwa urio.
Au urio kumpigia Simu DCI boaz kumwambia mipango ya mbowe?
Hamna kitu umejibu ati!!!DCI unajua kazi na mipaka yake?
Lazima alimwamini kwa mambo mengi aliyotaja Luteni Urio. Ndiyo maana amepewa nickname ya ^HOMEBOY^ Unajua maana yake?
Natamani kusikia akiulizwa hili kesho. Katika huo udalali yeye amelipwa kiasi gani? But, tayari tumeshajua kwamba aliahidiwa ^cheo cha juu.^ That's good enough to begin with!
Because nadhani waliona si salama sana kuwaweka officials wao wa usalama karibu na mtu mwenye nia husika za ugaidi alizozianisha Luteni Urio.
Pili, pengine kwa FM kudai kwamba nitafutie watu wastaafu na waliofukuzwa jeshi, labda tayari alikuwa na majina. Alichotaka tu jinsi ya kuwafikia--kukonekti nao.
Who knows? Labda ndicho kimesaidia hadi leo hii aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai yuko hai hadi leo. Labda bila hivyo (ushirikiano na mawasiliano ya karibu), angeshaliwa kichwa na wahuni.
Shahidi: Sijui 🙂
Shahidi: Sijui 🙂
Shahidi: Sijui :"
Matukio huwa yanatend kufunguka kadiri muda unavyokwenda! Time always tells the whole truth!
Kwahiyo majeshi ni maadui wa wapinzani?ndo maana nasema mbowe alijichanganya kufanya kazi na hao wanajeshi.
Mpaka akawa anamtumia hela.
Katika akili hata za kawaida hauwezi kufanya mipango ya ulinzi na wanajeshi wakati wewe ni kiongozi wa upinzani.
Basi hii kesi Mbowe ashashinda shahidi muongo hata kama alikuwa na mahusiano na MboweHii haiwezekani,kabda kama wakala alikuwa hawara wa Urio
Hicho kinachoendelea hapo mahakamani ni kesi iliyotengenezwa vizuri, au mimi ndio sijui kutengeneza vizuri nini? Kweli wazungu wakiendelea kutuita manyani hawakosei, huo utoto hapo mahakamani ndio uwezo wa vyombo vyetu vya usalama kifanya fabrication, duuu basi kazi ipo.