Kama kamondoo mwenye cheo Cha Luten anafanya utoto huu nchi yetu haipo salama, yaani mtu unaambiwa Jambo kubwa Kama hili la kuvuruga Amani, unaamua kucheza mchezo wa kua undercover kwenye kikundi kinachopanga kuleta vurugu, then wewe unaenda kufanya recruitment ya watu ambao wameachichwa jeshi kwa utovu wa nidhamu ili wakawe sehemu ya kundi, then kabla ya ushahidi wa kutosha kuhusu hizo habari unaenda kuwakamatisha watu ambao wewe ndo umewashawishi kujiunga. Je, alishindwa vipi kutafuta askari ambao bado ni waadilifu wakawa undercover ili wakaendelee kuufuatilia mtandao mkubwa wa Mbowe ambayo hata yeye alihisi kua anaweza kua ana backup ndio maana akaamua kumkubalia. That is nonsense! Kama kweli hizi njama zilikuwepo hafai kua Luten wa jeshi, Ila Kama game yao unaendelea kuchezwa tuendelee kufuatilia