Kukiri kosa pia kuna sheria zake. What if anayekiri kosa kahongwa ili kuwaangusha wenzake kama mtego?Kiunganishi ni bwire,, akikiri tu kosa imekula kwa mr chairman
Makomandoo wanaingia kwenye mtego wakijua wanaenda kufanya kazi ya ulinzi,
Then wanakamatwa na kufunguliwa mashitaka ya kukusudia.kufanya ugaidi?
Hakuiambia Mahakama kuwa kwenye simu yake kulikuwa na balance yoyote ndugu.Don't suppose that initially alikuwa na 0.00 balance! Think outside the box!
Hahahaa yaani hao makomando kabla ya kukutana na Mbowe na kupanga wanachotaka kufanya tayari ni magaidi🤣🤣🤣Kwamba urio alikutana na mbowe,
Mbowe kamuomba urio amtafutie wanajesh wastaafu wa kufanya vurugu inchi isitawalike,
Urio kaenda kuwadanganya makomandoo kwamba kuna kesi ya ulinzi akishirikiana na Boaz na Kingai,
Makomandoo wanaingia kwenye mtego wakijua wanaenda kufanya kazi ya ulinzi,
Then wanakamatwa na kufunguliwa mashitaka ya kukusudia.kufanya ugaidi?
Hii inchi wote tunafanywa mazuzu
Kamanda Urio amefunga kesi leo. Imeisha moja kwa moja.kila ubaya utalipwa
Amekiri kuwa akina Adamoo walikamatwa wakiwa wameenda kuripoti kazi ya Ulinzi.Mimi sijaelewa kabisa huo muunganiko asee. Wale mashahidi wengine wote walikana kabisa kukuta mawasiliano sala viashiria vya ugaidi kwa washtakiwa, huyu aliyetegemewa nae leo ndo anasema aliwaambia wanaenda kufanya kazi ya ulinzi anaulizwa sasa kwanini uliwadanganya wanaenda kufanya kazi ya ulinzi eti jibu ni ili mission ifanikiwe! So mission ni kumkamatisha mbowe tu
Sio Sirro na aliyekua "Mchengerwa?'?Na hapo hawajafanyiwa cross-examination!! Hii kesi inakwenda kuwaumbua wanafiki wote wakiongozwa na Samia.
Uongo mwingine tena.Hakuiambia Mahakama kuwa kwenye simu yake kulikuwa na balance yoyote ndugu.
Unajua kama kapewa Ubalozi DCI BOAZTunamsubiri DCI aje kutoa ushahidi pia.
Ukitumiwa 500000 ukitoa 499000 inakubali? Hata kabla ya Bi tozo hiyo hesabu isingekubali.Hakuiambia Mahakama kuwa kwenye simu yake kulikuwa na balance yoyote ndugu.
Halafu hao walinzi wanasema "tumekengeuka".!Kwamba urio alikutana na mbowe,
Mbowe kamuomba urio amtafutie wanajesh wastaafu wa kufanya vurugu inchi isitawalike,
Urio kaenda kuwadanganya makomandoo kwamba kuna kesi ya ulinzi akishirikiana na Boaz na Kingai,
Makomandoo wanaingia kwenye mtego wakijua wanaenda kufanya kazi ya ulinzi,
Then wanakamatwa na kufunguliwa mashitaka ya kukusudia.kufanya ugaidi?
Hii inchi wote tunafanywa mazuzu
Labda alikuwa na kabalance kake kengine kwenye simuUkitumiwa 500000 ukitoa 499000 inakubali? Hata kabla ya Bi tozo hiyo hesabu isingekubali.
Kisha wakakamatwa kabla yakufika huko ugaidini?Kwamba inawezekana aliwaambia ukweli kua wanaenda kufanya ugaidi?
Kwahiyo majeshi ni maadui wa wapinzani?
Unatuuliza sisi wakati ww ndio umetumwa huku mitandaoni kuja kupotosha? Hujui lolote wala mwenendo mzima wa hiyo kesi ya kihuni, bali huu utoto wa leo wa Urio ndio umeona wa kukutoa. Ww baki unapima upepo lakini hadi sasa tunaona ushahidi wa kipuuzi ukiendelea huko mahakamani.
Anajificha kwa Urio mtu mwenye nyota 2?!. Mbowe alishapata walinzi binafsi aliowataka, huo muda wa kupigwa mizinga na wanajeshi wenye njaa kali hakuwa nao. Isitoshe chini ya milioni moja kuna kipi cha kuficha hata akituma kwa wakala? Ukitazama hata hela aliyotumiwa huyo Urio ni hela ya mtu mwenye njaa kali. Ingekuwa ni bilioni mbili wangalau tungesema ni hela ya maana.
Mbowe hakutaka mawasiliano tena na Urio maana aliona ni wale wasumbufu wa hela za kuganga njaa. Subiri siku ukipata hela halafu jamaa yako mliyekulia huko kijijini awe anakupigia simu za mara kwa mara kukuomba heka ya kula, kisa amukusaidia kununua shamba huko bush uone hata kama utakuwa na huo muda mchafu wa kuwasiliana naye.