Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe 26 Jan 2022. Shahidi wa 12 Luteni Denis Urio kuendelea kutoa ushahidi wake

Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe 26 Jan 2022. Shahidi wa 12 Luteni Denis Urio kuendelea kutoa ushahidi wake

Yaan mbowe achukue mtu ambaye hamjui vizuri tena luteni jeshini aongee nae Jambo zito kama ili ,kwel wote tuseme mbowe bogus,mwenye akili atajua mchele na pumba
Ndio hapo yaani ni uwongo wakijinga kabisa upange ugaidi na Luteni nyota mbili jamani?,alafu kumbukeni Mboe alikuwa na kaka yake ambae ni Meja General asimtumie amtumie huyu Mbugila
 
Nadhani Kibatala et Al wamejitayarisha kwa ujio wake. They will never miss the point with him! God bless Mbowe
What is a tactical appreciation?

The appreciation is essentially the process whereby operational information is collected and then used to produce outline plans. The references cover the appreciation as it relates to strategic, tactical, and administrative problems at formation level.
Nadhani Kibatala et Al wamejitayarisha kwa ujio wake. They will never miss the point with him! God bless Mbowe
 
Huu upuuzi kila shahidi anayekuja anauzungumzia halafu hakuna evidence yoyote.

"Watu wa kukata miti pembezoni mwa barabara ya Mikoa ya Dar es Salaam, Mbeya, Arusha, Mwanza, Kilimanjaro hasa Mji wa Moshi na Barabara Kuu ya Morogoro - Iringa,kuchoma vituo vya mafuta mijini na masokoni na kwenye mikusanyiko ya watu na kudhuru viongozi wa serikali."

Watu wa kufanya Hii kazi mbona ni zaidi 1,000 huyu afisa ndio aitwe na Mbowe kufanikisha hawa watu?halafu mbona kazi yenyewe haihitaji makomandoo sasa?kukata miti?Hii kazi mbona hata Red Brigade wangeweza kama kweli ndio ilikuwa lengo.

Hapa anasema hakuambiwa hata idadi,mtu aliyepanga kufanya nchi isitawalike hajui anahitaji wanajeshi wangapi?

Wakili wa Serikali: Sasa Shahidi Tuambie, yeye alikwambia anataka Wangapi

Shahidi: Hakuna Kikomo cha Watu, Ni wale Watakaopatikana.

Nasubiri maswali ya Kibatala aisee
Hata vibarua wa mtaani wanaifanya
 
TACTICAL APPRECIATION- An estimate or appreciation of a situation is the military term defined as a 'logical process of reasoning by which a commander considers all the circumstances affecting the military situation and arrives at a decision as to the course of action to be taken in order to accomplish his mission'
... umeandika wewe au ume-google?
 
Siuseme tu mke mwenza lilian mtei
umejuaje maana tunataka kesi iishe afungwe tumechoka na bangi zake

What is a tactical appreciation?


The appreciation is essentially the process whereby operational information is collected and then used to produce outline plans. The references cover the appreciation as it relates to strategic, tactical, and administrative problems at formation level.
 
You're so funny, unajua! Unakubali ushahidi wa Luteni Urio kwamba ni kweli Mbowe alimwomba amtafutie bodyguards, at the same time unakataa sehemu iliyosalia ya ushahidi wake kwamba alikuwa anafanya plans za kuzua taharuki na vurugu kwenye nchi?

Kwa mjibu wa sheria ya kuzuia na kupambana na ugaidi ya 2002- nia tu inatosha kuweka hatiani kwa ugaidi
Ni kweli hata ikithibitika kuwepo kwa nia ya kutenda inatosha,

Ndiyo maana nimekwambia hadi sasa hakuna ushahidi wowote iliokwisha onesha kwa kuthibitisha uwepo wa nia hiyo ya kupanga au kutenda ugaidi.

Huyu Urio ana "hadithia" uwepo wa nia na siyo kushuhudia.
 
Hakuna mahakama yoyote duniani inayoweza kuchukua maneno kama haya ya Urio kama yalivyo ukawa ushahidi iliojitosheleza maana,

1. Mpaka sasa maneno yake hayana muanganiko wa karibu na ushahidi wa wengine

2. Labda baadaye watuletee sauti za mazungumzo au utoshelevu mwingine juu ya ushahidi huu.
nadhani hana kizibiti chochote huyu jamaa
porojo nyingi, akiulizwa mlikuwa na nani anasema tulikuwa wawili
 
Kwa mjibu wa sheria ya kuzuia na kupambana na ugaidi ya 2002- nia tu inatosha kuweka hatiani kwa ugaidi
Hapana. Kesi yoyote ya jinai ni lazima kuwe na ushahidi mzito "to prove beyond reasonable doubt"

Kwa maana mtuhumiwa hawezi kuhukumiwa kwa hisia ama porojo pekee.

Katika uwanja wa sheria inatamkwa kwamba ni bora kuwaachia huru watu 100 kuliko kumhukumu kifungo mtu mmoja asiye na hatia.
 
What is a tactical appreciation?

The appreciation is essentially the process whereby operational information is collected and then used to produce outline plans. The references cover the appreciation as it relates to strategic, tactical, and administrative problems at formation level.
🤣🤣🤣,we jamaa Huwa unanichekesha unavyokomaa na hivyo vimisemo ila Huwa unaingia mitini mazima!
Yule shahidi wa ethical hacking ulichukua kaneno "Cellebrite" Ukaenda google ukacopy maana basi ndio ukawa unatamba nayo kwenye ule Uzi,hapo Ilikuwa kabla ya spana za kina Kibatala!
Baada ya mawakili wa utetezi ukaingia mitini na maana Yako kutoka google!
Naona Leo uko na tactical appreciation na ushacopy maana kutoka google!
Endelea kukapaste kila mahala ila usije ukaingia mitini Kibatala akisimama!
🤣🤣
 
Wakili wa Serikali: Unafanya Shughuli gani

Shahidi: Ni Mwajiriwa wa Jeshi la Wananchi Tanzania
Kwenye Cross examination sasa;
Kibatala: Umesema wewe ni Mwajiriwa wa Jeshi la wananchi Tanzania,
Shahidi: Sahihi
Kibatala: Umemuonesha Mh. Kitambulisho chochote cha kuthitisha wewe ni Mwajiriwa kweli wa JWTZ na sio shahidi wa Mchongo
Shahidi: Hapana
Kibatala: umemwonesha Mh. Jaji Barua yoyote ya ruhusa inayotoka kwa mwajiri wako wa 92 KJ Ngerengere
Shahidi: Hapana
Kibatala: Katika mazungumzo yenu na Mteja wangu Mh. Mbowe lipo eneo ambalo alizungumzia ugaidi?
Shahdi; hapana Ila ............
Kibatala: Hakuna ila hapa, ushajibu
 
Huyo hapo Lt Urio

FB_IMG_1643194850516.jpg
 
You're so funny, unajua! Unakubali ushahidi wa Luteni Urio kwamba ni kweli Mbowe alimwomba amtafutie bodyguards, at the same time unakataa sehemu iliyosalia ya ushahidi wake kwamba alikuwa anafanya plans za kuzua taharuki na vurugu kwenye nchi?
Si kweli kwamba kuna kukubali ushahidi wa Urio la hasha,

Watuhumiwa wenyewe walishaeleza kuwa walikuwa Moshi, na shughuli iliyowapeleka walikwisha eleza.

Ushahidi unaweza kuwa na nusu ukweli na nusu uongo ( hapa ushahidi wote unakuwa batili) ndicho wanachokifanya mashahidi wa serikali Wanataka kuweka ukweli na kuchomekea uongo wao ili malengo yao ya kuwatupa hatiani yatimie.
 
Back
Top Bottom