Muanganiko unaoleta wazo moja la kuonesha nia ya kula njama ya ugaidi haipo.
Mashahidi wa mwanzo wote ukiacha huyu Urio walionesha wazo la namna walivyo wakamata watuhumiwa hakuna mahali wamethibitisha kuwakuta wakiwa ktk harakati zozote ama za mipango, fikra, au vitendo vinavyoashiria ugaidi.
Huyu Urio hadi sasa yeye tu ndiye ameonesha kuelekea kwenye msingi wa kesi, hata hivyo katika maelezo yake hadi sasa hayajapata "support" yenye nguvu ya uthibitisho wa kile anachohadithia kwa maana nyingine hii yaweza kuwa kama "story" za kutungwa labda tusubiri wengine.