If you are speaking about a civil case your word against an others is 50% to 50%, you must get 51% usually by presenting some type of evidence, witness, video, letters, emails, recorded audio etc. Further the judge or jury can also look at the credibility of both parties especially in a criminal trial etc.Kwa mjibu wa sheria ya kuzuia na kupambana na ugaidi ya 2002- nia tu inatosha kuweka hatiani kwa ugaidi
Huyu ni Luteni wa Kwanza duniani kutojua maana ya HOMEBOY.LEO NENO LA TAKE AWAY- maana ya HOMEBOY
Ametia aibu sana!!! Yaani apate habari mbaya kama hizo alafu akubali kuzifanyia majaribio? Je ingetokea kweli?Hakuna mahakama yoyote duniani inayoweza kuchukua maneno kama haya ya Urio kama yalivyo ukawa ushahidi iliojitosheleza maana,
1. Mpaka sasa maneno yake hayana muanganiko wa karibu na ushahidi wa wengine
2. Labda baadaye watuletee sauti za mazungumzo au utoshelevu mwingine juu ya ushahidi huu.
Hapo ndo tunasubiri video aliomrekodi au sauti alizorekodi wakati wa maongezi yao. Au hata picha kuonesha tarehe husika walikua maeneo anayosema walikutana. Hata sauti za maongeze. Hivyo ndivyo vinaweza kua supportive document za alichokizungumza, lasivyo zitakua ni porojo tuBut shahidi ametamka kwamba Mbowe hakutaka mazungumzo yao yafanyike kwa njia ya simu. Hukusoma hapo?
Haya mimi nina nia Njoo nikamateKwa mjibu wa sheria ya kuzuia na kupambana na ugaidi ya 2002- nia tu inatosha kuweka hatiani kwa ugaidi
Asante mheshimiwa Hakimu. Kesi imeahirishwa hadi lini?Muanganiko unaoleta wazo moja la kuonesha nia ya kula njama ya ugaidi haipo.
Mashahidi wa mwanzo wote ukiacha huyu Urio walionesha wazo la namna walivyo wakamata watuhumiwa hakuna mahali wamethibitisha kuwakuta wakiwa ktk harakati zozote ama za mipango, fikra, au vitendo vinavyoashiria ugaidi.
Huyu Urio hadi sasa yeye tu ndiye ameonesha kuelekea kwenye msingi wa kesi, hata hivyo katika maelezo yake hadi sasa hayajapata "support" yenye nguvu ya uthibitisho wa kile anachohadithia kwa maana nyingine hii yaweza kuwa kama "story" za kutungwa labda tusubiri wengine.
This is one of those poor reasoning! Ni sawa na kusema, ^Mtuhumiwa ana bastola yake binafsi, hivi kweli angeweza kumdhuru mhanga kwa kutumia silaha duni kama kisu?^Ndio hapo yaani ni uwongo wakijinga kabisa upange ugaidi na Luteni nyota mbili jamani?,alafu kumbukeni Mboe alikuwa na kaka yake ambae ni Meja General asimtumie amtumie huyu Mbugila
Sauti alizorekodiwa wakati wanakutana zitawasilishwa.Hapo ndo tunasubiri video aliomrekodi au sauti alizorekodi wakati wa maongezi yao. Au hata picha kuonesha tarehe husika walikua maeneo anayosema walikutana. Hata sauti za maongeze. Hivyo ndivyo vinaweza kua supportive document za alichokizungumza, lasivyo zitakua ni porojo tu
Kwenye Cross examination sasa;
Kibatala: Umesema wewe ni Mwajiriwa wa Jeshi la wananchi Tanzania,
Shahidi: Sahihi
Kibatala: Umemuonesha Mh. Kitambulisho chochote cha kuthitisha wewe ni Mwajiriwa kweli wa JWTZ na sio shahidi wa Mchongo
Shahidi: Hapana
Kibatala: umemwonesha Mh. Jaji Barua yoyote ya ruhusa inayotoka kwa mwajiri wako wa 92 KJ Ngerengere
Shahidi: Hapana
Kibatala: Katika mazungumzo yenu na Mteja wangu Mh. Mbowe lipo eneo ambalo alizungumzia ugaidi?
Shahdi; hapana Ila ............
Kibatala: Hakuna ila hapa, ushajibu
Basi kama Mbowe hakutaka mazungumzo ya simu, Urio kama alivyojinasibu kuwa ni mwelevu alitakiwa kutafuta namana yoyote ya kuwa na ushahidi kwani anaonesha kuwa alikuwa na nia kwenda kumtaarifu DCI.But shahidi ametamka kwamba Mbowe hakutaka mazungumzo yao yafanyike kwa njia ya simu. Hukusoma hapo?
Sauti alizorekodiwa wakati wanakutana zitawasilishwa.
Maana FM alikataa mazungumzo ya kwenye simu akasahau Kuna voice recorder.
Yajayo yanahuzunisha.
Pengine walirusha mtego na ndoano, vikanasa. Who knows? Nadhani wengine sie tujifunze kuweka akiba ya maneno ili baadaye mambo yakianikwa hadharani kutoka huko faraghani tusije tukapoteana.Basi kama Mbowe hakutaka mazungumzo ya simu, Urio kama alivyojinasibu kuwa ni mwelevu alitakiwa kutafuta namana yoyote ya kuwa na ushahidi kwani anaonesha kuwa alikuwa na nia kwenda kumtaarifu DCI.
Litakuwa ni jambo la ajabu Sana na aibu kubwa kama DCI alipokea mashtaka haya akayafanyia kazi akiwa hana viambata toshelevu vya ushahidi.
Hapa hatoki mtu! (Siyo kwamba nimemjibia. Hii ni aidii yangu nyingine)! 🙂🤣🤣🤣,we jamaa Huwa unanichekesha unavyokomaa na hivyo vimisemo ila Huwa unaingia mitini mazima!
Yule shahidi wa ethical hacking ulichukua kaneno "Cellebrite" Ukaenda google ukacopy maana basi ndio ukawa unatamba nayo kwenye ule Uzi,hapo Ilikuwa kabla ya spana za kina Kibatala!
Baada ya mawakili wa utetezi ukaingia mitini na maana Yako kutoka google!
Naona Leo uko na tactical appreciation na ushacopy maana kutoka google!
Endelea kukapaste kila mahala ila usije ukaingia mitini Kibatala akisimama!
🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣,sawa mkuu!Huyu shahidi tunaye mpaka Jumatatu!Hapa hatoki mtu! (Siyo kwamba nimemjibia. Hii ni aidii yangu nyingine)! 🙂
Aiseeeee! Amazing! Flabbergasting, even! Ushahidi wa watuhumiwa ni wa kweli, ila wa Luteni ni wa uongo! Ujiniasi wako ni wa Planet Mars!Si kweli kwamba kuna kukubali ushahidi wa Urio la hasha,
Watuhumiwa wenyewe walishaeleza kuwa walikuwa Moshi, na shughuli iliyowapeleka walikwisha eleza.
Ushahidi unaweza kuwa na nusu ukweli na nusu uongo ( hapa ushahidi wote unakuwa batili) ndicho wanachokifanya mashahidi wa serikali Wanataka kuweka ukweli na kuchomekea uongo wao ili malengo yao ya kuwatupa hatiani yatimie.