Tofauti ya miaka 29 Sawa na mtoto wake wa 3 kuzaa.Jamaa alimtongoza mama mwenye 60yrs huku yy ana 31yrs...huyu kajitia dole
UVCCM kumejaa laana, mnatongoza mpaka mama zenu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tofauti ya miaka 29 Sawa na mtoto wake wa 3 kuzaa.Jamaa alimtongoza mama mwenye 60yrs huku yy ana 31yrs...huyu kajitia dole
Basi Mwamba kajichanganya kooote..Kujichanganya kwenye mahojiano ya mahakamani kawaida sana
Kujichanganya ndio kuharibu ushahidi kwenyewe.Kujichanganya kwenye mahojiano ya mahakamani kawaida sana
Adhabu yake sijui, ila ni kosa kubwa sana ambalo linaloweza kubadili mwenendo mzima wa kesiBasi Mwamba kajichanganya kooote..
By the way me sijui mambo ya Sheria, hivi mtu akiidanganya mahakama, adhabu yake ikoje Mkuu?
Let's wait and see..Kujichanganya ndio kuharibu ushahidi kwenyewe.
Anakula miaka kama 7 hiviBasi Mwamba kajichanganya kooote..
By the way me sijui mambo ya Sheria, hivi mtu akiidanganya mahakama, adhabu yake ikoje Mkuu?
Wameru wameanza kuwapa watoto wao majina gan tena jmn?Shahidi: ni Jina langu Ndiyo Maana naitwa Power Kaaya hata kwenye Charge Sheet lipo, tangu kwenye ubatizo niliitwa Power
Shukrani Mkuu.Adhabu yake sijui, ila ni kosa kubwa sana ambalo linaloweza kubadili mwenendo mzima wa kesi
Na hakuna kufungua Kesi polisi,iende kwa DPP,hii Jaji au hakimu akijiridhisha ni hapo kwa hapoAnakula miaka kama 7 hivi
Haya uliyoandika Leo niliyaandika Jana. Nilimwona Kingai ni mpumbavu kumbe kaanda a SHAHIDI Zuzu Kaaya.... kila anayeletwa ni afadhali ya aliyetangulia! Mlimuona ACP Kingai empty set? Sasa huyu ni NULL AND VOID! Hamna kitu mule!
😳😳😳😳😳😳😳😳😳!!! Kwahiyo Bwana Kaaya anachezea kufuli la segerea!!Anakula miaka kama 7 hivi
Sasa ndo nimeelewa Kwa nini DPP Mganga alitolewa na kuhongwa uJAJI. Hakuna Mwanasheria mwenye akili timamu anaweza kukubali aibu hii ifike mahakamani.ni wenyewe tu sio watu smart....watoto wa mjini wanachonga hiyo story hutoki lazim uende jela..vichwa panzi tu hao wooote kuanzia mashahidi, watunga story na hao mawakili wa serikali ( walipaswa kuwashauri mapema mabosi wao ili shauri lifutwe kuliko hii aibu ya kitaifa)..
Kibatala angemuuliza kama huyo Mama alimkubalia ....... Hawa vijana wa wa Magufuli wallikuwa na matatizo ya kiakili!!Jamaa alimtongoza mama mwenye 60yrs huku yy ana 31yrs...huyu kajitia dole
Unaweza kumuona zuzu kumbe anajua anachokifanya. Watu wakutese mwaka mzima halafu uwe upande wao.Haya uliyoandika Leo niliyaandika Jana. Nilimwona Kingai ni mpumbavu kumbe kaanda a SHAHIDI Zuzu Kaaya.