Kuna kutoa na kutunga kumbeHuyu ashitakiwe chini ya kif. 106 cha Penal code (kutunga ushahidi wa uongo) na siyo 102 kutoa ushahidi wa uongo. Huyu katunga ushahidi akielekezwa na Sabaya na Kangai.
Labda hukusikia jaji alipotoa hukumu kwa maelezo yake alitoa hukumu kwa maoni yake ili kesi iendeleeMnaanza Tena kelele,mwanzo oooh PGO,lakini baada ya uamuzi kutoka sisikii tena.
Na Sasa kelele debe ....
Mimi siongei kwa ushabiki mzee, kilichopo ndicho naongea! Sina side yoyoteUnahaingaika sana kijana, bora ukae kimya tu naona unajivua chupi hadharan
Wapo njiani wanakuja utawasikiaπ.
Sijaelewa huyu ameletwa kutoa Ushahidi juu ya nini? Ugaidi au Kumdhuru DC Sabaya? Mbona yote hakuna ? Ahaaa tunapotezewa muda. WaJe Mashahidi wanazibitisha Ugaidi wa Mbowe na Wenzie. Urio yuko wapi? Yeye si ndiye aliripoti Polisi?Huyu Kaaaya mpaka sasa ni Kihiyo Mwingine ndani ya nyumba ya pilato...sijui hao waliomleta wanajisikiaje kwa sasa, au labda akili zao ni kama zake pia ingawaje ni wanajiita wanasheria wasomi wa serikali...
Usitukane mamba kabla hujavuka mto, wewe sijui ni bwabwa la wapi....unashindwa kielewa wewe bwabwa la ccm !.
serikali ya ccm ilijua kesi kwa ni rahisi kwa uovu wao ili kumpoteza baada ya kuingia mahakamani mambo yanazidi kuibuliwa mpaka itafika uozo wa ccm utajulikana wote.
na hii ndio kesi ya kwanza tanzania inaonyesha ccm kuwa imeoza na utawala wa mabavu
Mimi siongei kwa ushabiki mzee, kilichopo ndicho naongea! Sina side yoyote
Kadri unavyoendelea ndivyo unavyoanika ujinga wako hapa.Mimi siongei kwa ushabiki mzee, kilichopo ndicho naongea! Sina side yoyote
Kadri unavyoendelea ndivyo unsvyoanika ujinga wako,
Kwani ni uongo hayo niliyoongea? The thing nimekuwa nasema watu waache kushangilia mapema, wasubiri, and either matokeo kwangu mimi ni OK!!
Usitegemee nitashangilia kijana wa miaka 31 kumtongoza mbibi wa miaka 61 kisa nipo side yao, and amekiri mwenyewe!! Kama wewe una ushabiki wa hivyo pole mjombaa....Kadri unavyoendelea ndivyo unavyoanika ujinga wako hapa.
ππππHayakinzani Mkuu,
Mara ya Kwanza kukutana na Mbowe ilikuwa Oct 2020 mara ya pili ilikuwa Jan.2020. Kwa Leo ni hayo MH. Jaji.
Huyu shahidi ni empty head utopolo kabisa...hiki ndio kiwango cha uelewa cha watu wetu... huyu ni mtu anayekutana na waheshimiwa mara kwa mara...
Matokeo ya kesi sio issue maana wakubwa wakiamua kukufunga hata ufanyaje watakufunga tu, tunayoongelea hapa ni huo ushaidi utakaoweza kuwatia hatian hao watuhumiwa na mashahidi wenyewe ndio kama hao kina Kaaya, huitaji akili ya law school kujua mwenendo wa kesi mpaka hapa tulipofikia leo lasivyo ni kujitoa ufahamu tu.Kwani ni uongo hayo niliyoongea? The thing nimekuwa nasema watu waache kushangilia mapema, wasubiri, and either matokeo kwangu mimi ni OK!! Sasa kuna watu wanaconclude as if mtu wamtakao wao ameshashinda, ikija kutokea ndivyo sivyo mayowe yanakuwa meengiii!! Lets wait and see mwisho utakuwaje (Not in a bad blood)