Hii kwa jaji makini anajua kabisa shaidi anatamani uongo uwe ukweli. Mimi mwenyewe hii statement ilinifuraisha sanaLeo mimi nimetoka na hili swali,
kibatala; unatamani mahakama iamini huu
ushahidi kuwa ni wa kweli?
Shahidi; ndiyo natamani Sana.
Tusubiri Mkuu, uzuri kila kitu kipo hadharani...Siku ya hukumu ya mwisho tutafanya conclusion nzuri, siyo watu kuanza kujump into ideas mapema namna hiiMatokeo ya kesi sio issue maana wakubwa wakiamua kukufunga hata ufanyaje watakufunga tu, tunayoongelea hapa ni huo ushaidi utakaoweza kuwatia hatian hao watuhumiwa na mashahidi wenyewe ndio kama hao kina Kaaya, huitaji akili ya law school kujua mwenendo wa kesi mpaka hapa tulipofikia leo lasivyo ni kujitoa ufahamu tu.
Upande wa utetezi ameongezeka Wakili Niyikiza Seth Jacob, ametokea Bukoba mkoa wa Kagera Kuja kuongeza nguvu katika kesi ya Mbowe na wenzake."
Wapiga mayowe mitandaoni walikuwa wanasema hii kesi rahisi sana, sasa huu utitiri wa mawakili wa nini wakati kesi ni rahisi sana?
Haufahamu kuwa kuyatupilia mbali yale mapingamizi ndiyo sababu ya kihoja kinachoendelea mahakamani? is as if unasema hata kama mkishangilia mbowe atafungwa tu, is it?Mnaanza Tena kelele,mwanzo oooh PGO,lakini baada ya uamuzi kutoka sisikii tena.
Na Sasa kelele debe ....
Tusubiri Mkuu, uzuri kila kitu kipo hadharani...Siku ya hukumu ya mwisho tutafanya conclusion nzuri, siyo watu kuanza kujump into ideas mapema namna hii
Huyu mtu mpuuzi sana, linajibu sifahamu , hovyo kabisa. Mtu yuko gerezani unakutana naye Longido. Ushahidi wa kufundishwa johnthebaptist ErythrocyteKibatala: Je unafahamu January 2020 Freeman Mbowe alikuwa Gerezani Segerea baada ya kufutiwa Dhamana Mahakama ya Kisutu
Shahidi: Sifahamu
Kibatala: Je Mtu akiwa Gerezani Segerea anaweza Kukutana na wewe Longido
Shahidi: Hapana Sifahamu
Huyu shaidi mbona mweupe Sana kichwani, hivi kwanini maelezo aliyotoa Chini ya polisi, ni tofauti na maelezo aliyotoa Jana wakati anaongozwa na wakili wa serikali, Na pia ni tofauti na maelezo aliyoyatoa polisi,Kuna vitu vingi anaviongea havipo ktk maelezo aliyotoa Polisi.
Inamaana sio kazi ya wakili wa serikali kumwambia azungumze kile ambacho amekitolea maelezo au wakili wa serikali huwa hasomi maelezo ya shaidi wake kabla.
hii kesi mbona Kina Mbowe Wana kila dalili yakutokutwa na hatia Kama itahukumiwa kwa haki
Mnafwatilia kesi kwa pupa sana.Wazazi wako bora wangepiga nyeto tu
Akili za Kaaya ni kama za Musiba tu!Huyu mtu mpuuzi sana, linajibu sifahamu , hovyo kabisa. mtu yuko erezani unakutana naye longido. Ushahidi wa kufundishwa johnthebaptist Erythrocyte
Kaaya ni bure kabisa!Mnafwatilia kesi kwa pupa sana.
Kaaya sio chizi upanguaji wake wa maswali kwa wajinga mnadhani ajui anachofanya.. Ngoja Mshangae Makubwa zaidi ...
Inaelekea you are incapable of following with logical deduction from this interogation.....sMnafwatilia kesi kwa pupa sana.
Kaaya sio chizi upanguaji wake wa maswali kwa wajinga mnadhani ajui anachofanya.. Ngoja Mshangae Makubwa zaidi ...
Naipendatz alituhakikishia juzi hapa kuwa wapo mashahidi 19.Naona mashahidi wameyeya, nani akubali kuja kudhalilika mahakamani.
Hahaha, shahidi namba 3 kachelewa mkuu huko alipokuwepo, bado yupo njiani, may be alidandia LorryNaipendatz alituhakikishia juzi hapa kuwa wapo mashahidi 19.
Usitegemee nitashangilia kijana wa miaka 31 kumtongoza mbibi wa miaka 61 kisa nipo side yao, and amekiri mwenyewe!! Kama wewe una ushabiki wa hivyo pole mjombaa....
"KISA NIPO side yao"- ni kisisitizo cha sentensi ( KISA NIPO=hata kama ningekuwa)Mara huna side, mara upo side yaoβ¦. mnachanganyikiwa mapema sana kama hao mashahidi wa Jamhuri.
Exactly, nimegundua watu wengi wamefungwa kwa kutokujua haki zao au kwakushindwa kuweka mawakili kwenye kesi zao hili kubaini uongo wa polisi,Pamoja ya kuwa polisi huwashikilia watuhumiwa kwa muda mrefu lakini wanapowahoji waliokuwa watuhumiwa kama Power Kaaya huwa hawachukui maelezo yakutosha kusaidia kazi yao ya kujenga hoja ya kesi na cha kushangaza ofisi ya DPP haioni hilo...
ππ kidole Cha kwenye masaburi au katika Jichoo!!?Jamaa ametepeta sana, kutetea uongo ni kazi sana.
Kuna kesi nilishawahi kuhudhuria, shahidi alitiwa kidole mahakamani na aliyekuwa anamtetea, sababu ya kujikanyaga kanyaga kama hivi.
kuja kusema kaonewa nyie ila mpaka sasa JMT 3 - Gaid squad 0
Hata sabaya wakili wake waliwasumbua sana mashaidi 7 ila matokeo?