Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe na wenzake: Kaaya amaliza kutoa ushahidi. Shauri kuendelea 29/10/2021

Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe na wenzake: Kaaya amaliza kutoa ushahidi. Shauri kuendelea 29/10/2021

Huyu shaidi mbona mweupe Sana kichwani, hivi kwanini maelezo aliyotoa Chini ya polisi, ni tofauti na maelezo aliyotoa Jana wakati anaongozwa na wakili wa serikali, Na pia ni tofauti na maelezo aliyoyatoa polisi,Kuna vitu vingi anaviongea havipo ktk maelezo aliyotoa Polisi.

Inamaana sio kazi ya wakili wa serikali kumwambia azungumze kile ambacho amekitolea maelezo au wakili wa serikali huwa hasomi maelezo ya shaidi wake kabla.

hii kesi mbona Kina Mbowe Wana kila dalili yakutokutwa na hatia Kama itahukumiwa kwa haki
Jamaa ametepeta sana, kutetea uongo ni kazi sana.

Kuna kesi nilishawahi kuhudhuria, shahidi alitiwa kidole mahakamani na aliyekuwa anamtetea, sababu ya kujikanyaga kanyaga kama hivi.
 
Jamaa ametepeta sana, kutetea uongo ni kazi sana.

Kuna kesi nilishawahi kuhudhuria, shahidi alitiwa kidole mahakamani na aliyekuwa anamtetea, sababu ya kujikanyaga kanyaga kama hivi.
Mtakuja kusema kaonewa nyie ila mpaka sasa JMT 3 - Gaid squad 0

Hata sabaya wakili wake waliwasumbua sana mashaidi 7 ila matokeo?
 
Jamaa ametepeta sana, kutetea uongo ni kazi sana.

Kuna kesi nilishawahi kuhudhuria, shahidi alitiwa kidole mahakamani na aliyekuwa anamtetea, sababu ya kujikanyaga kanyaga kama hivi.
Principle ya kua muongo lazima uwe na kumbukumnu. Wachache sana wenye kipawa hicho.

Wanasemaga ukweli unauma ila sio kweli. Ukiambiwa kitu cha ukweli unajua kabisa unajiteteaje maana ulikifanya. Kitu cha uongo lazima ushtuke na maneno yakuishe hujui uanzie wapi kujitetea
 
Mtakuja kusema kaonewa nyie ila mpaka sasa JMT 3 - Gaid squad 0

Hata sabaya wakili wake waliwasumbua sana mashaidi 7 ila matokeo?
Inakuingia akilini jamaa anasema alikutana na Mbowe huko Longido january 2020, wakati muda huo Mbowe alikuwa gerezani?

Alaf hii inaonesha hata polisi nao hawatunzi kumbukumbu vizuri, inamaana walishindwa kuliona ili mpaka wameenda aibika mahakamani?
 
Principle ya kua muongo lazima uwe na kumbukumnu. Wachache sana wenye kipawa hicho.

Wanasemaga ukweli unauma ila sio kweli. Ukiambiwa kitu cha ukweli unajua kabisa unajiteteaje maana ulikifanya. Kitu cha uongo lazima ushtuke na maneno yakuishe hujui uanzie wapi kujitetea
Shahidi Kaaya anakata viuno tu mbele ya kizimba. Kukariri uongo ni kipaji.
 
Pindi ya kichungulia nje ya mashimo kutokea pale mtaa wakijani kengele zinalia na yanajulikana na kila mmoja🤸.

IMG_20211016_132442_593.jpg
 
Walikua na mashahidi 19 sidhani Kama watafika hata Kumi kwa mwenendo huu.
 
Back
Top Bottom