Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli maana wanatumia usafiri wa UmmaHahaha, shahidi namba 3 kachelewa mkuu huko alipokuwepo, bado yupo njiani, may be alidandia Lorry
Mara ya kwanza alikutana na Mbowe October 2020 mara ya pili mwanzoni mwa January 2020! Bwana Kaaya atakua kapiga cha MeruMbowe
ulikutana naye lini?
January 2020.
Unajua January 2020 mbowe alikuwa segerea.
Mkuu dudus kwa ubora wa andishi hili naomba niweke Mahali pa msomaji wako kupata ukweli wa kile ulichoandika kwenye Biblia ktk kitabu chaKwa cross-exam ya leo, case closed! Mbowe Januari 2020 alikwa gerezani Segerea lakini wakati huo huo alikutana na Shahidi Kaaya huko Longido! How possible was that?....
Sio kwamba aende msalani kwanza!!!Kunywa maji Kwanza!!
kiswahili si Tunu ya Taifa letu au ni kizungu?
Shaidi ana big head and chicken mindUkisikia EMPTY SET ndio huyu shahid sasa....
Akili ndogo, huwezi kujua mambo ya kisheria. Wewe kalinde kaburi."Upande wa utetezi ameongezeka Wakili Niyikiza Seth Jacob, ametokea Bukoba mkoa wa Kagera Kuja kuongeza nguvu katika kesi ya Mbowe na wenzake."
Wapiga mayowe mitandaoni walikuwa wanasema hii kesi rahisi sana, sasa huu utitiri wa mawakili wa nini wakati kesi ni rahisi sana?
Huyo power canalipwa pesa ya kujikimu ? Kutoka longido,arusha dar asisahau kutunza rict za bac alilosafiri naloHuyu shahidi inaonekana kichwani hamna kabisa!!
Unamaanisha Mbowe keishafanya yake mahakamani?Itakuwa kuna gaidi aliingia!
Itakuwa AMEC. Wale wameru waliojitenga na KKKT baada ya yale mapigano ya miaka ya 90.Jichekee tu best angu maana mwaka huu tutaona na kusikia mengi, mtu anasema eti amebatizwa jina la Power khaaa nitafurahi nikilijua hilo Kanisa!!
kinachoendelea mahakamani ni Ze Comedy Hakimu ana maamzi yake mfukoni.Huyu "shahidi" wa kuokoteza hana kabisa akili ndogo maana anatongoza likungu linalomzidi hata mama yake umri. Very useless boy.
hahahaha yaani likungu , goko wabhoHuyu "shahidi" wa kuokoteza hana kabisa akili ndogo maana anatongoza likungu linalomzidi hata mama yake umri. Very useless boy.