LESIRIAMU
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 9,006
- 14,536
Ati shahidi alikutana na Mbowe Aishi hotel. Kumbe siku hiyo Mbowe alikiwa mahabusu UkongaUnashindwa kielewa wewe bwabwa la ccm !.
serikali ya ccm ilijua kesi kwa ni rahisi kwa uovu wao ili kumpoteza baada ya kuingia mahakamani mambo yanazidi kuibuliwa mpaka itafika uozo wa ccm utajulikana wote.
Na hii ndio kesi ya kwanza tanzania inaonyesha ccm kuwa imeoza na utawala wa mabavu