Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Huu ni mpango maalumu CDM na Mbowe wamemtengenezea SSH. Na kwa Mzungu hili jambo ni zito sana. Miezi 5 hauwapi watu chakula!Harafu kweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ni mpango maalumu CDM na Mbowe wamemtengenezea SSH. Na kwa Mzungu hili jambo ni zito sana. Miezi 5 hauwapi watu chakula!Harafu kweli.
Wakili wa Swila kachanganyikiwa hana umakini. Mwanzo anapinga baadae anakuja kukubaliana na hicho hicho alichopinga.Kibatala: Si Umekuja Kutoa Ushahidi Wa kweli, Je Kuna tatizo Mheshimiwa Jaji akiyaona Maelezo Yako kama Ushahidi Wako
Ilitakiwa kwa mashtaka haya watu wamnyoshee Mbowe kidole cha lawama lakini badala yake wanampungia mkono wa heri.Hata Jaji kashaona hakuna kesi hapa. Ni vile tu katumwa.
Mbowe ataachiwa huru na wenzake. Hakuna kesi hapa ya kumfunga...
Na sio kwamba wamegoma wao.Huu ni mpango maalumu CDM na Mbowe wamemtengenezea SSH. Na kwa Mzungu hili jambo ni zito sana. Miezi 5 hauwapi watu chakula!
Ndio Maana kipindi chote hicho Mbowe na wenzake ni buheri wa afya.Ilitakiwa kwa mashtaka haya watu wamnyoshee Mbowe kidole cha lawama lakini badala yake wanampungia mkono wa heri.
Lawama zinaenda upande mwingine kama si aibu tuseme ni nini.
Huyu jamaa anataka mashahidi mchongo wagome kupanda kizimbani kutoa utetezi mchongo sio kwa kuhoji hukoHabari Wakuu,
Leo 15/ 02/ 2022 shahidi wa 13 anatarajiwa kuendelea kutoa ushahidi wake kwenye kesi inayomkabili Mbowe na wenzake 3 baada ya Ushahidi wake kutokamilika jana
Hii ni nguvu ya ajabu sana. Uwezo wa ku-ignore njaa na mambo mengine yakaendelea.Mheshimiwa jaji japokuwa tuna njaa ila nguvu tunayo tupo tayari kuendelea na shauri hili!!!INAUMA SANA ILA PIA INAONESHA NINI MAANA YA KUITWA KAMANDA MKUU
Tayari kashaomba kwenda kudesa chooni 😂Habari Wakuu,
Leo 15/ 02/ 2022 shahidi wa 13 anatarajiwa kuendelea kutoa ushahidi wake kwenye kesi inayomkabili Mbowe na wenzake 3 baada ya Ushahidi wake kutokamilika jana...
Kunyimana msosi hii ni adhabu ya ki analoge mno. Ni aibu kubwa kwa taasisi zote zilizohusika kukamilisha hili..ni doa kwa taifa letu.Mbowe ni smart sana kaona mama SSH anaenda kuonana na Mzungu akamtia kizunguzungu. Hili la kutopewa chakula anapoenda kukutana na Beberu wa EU lazima atakutana na hili jambo.
Jamaa ana matatizo ya kiafya..kibofu si kizima..tumhurumie na kumsame kwa kushiriki ushahidi wa uongo.Tayari kashaomba kwenda kudesa chooni 😂
Uko sahihi mkuu.Miaka michache ilopita nikiwa kwenye ajir nilishakua na boss wangu aisee huyo mnaweza mkashindia vikao the whole day na usipolalamika njaa wewe basi utarud home bila kula.Jamaa yy ni kaz tu kula mpaka sijui iwaje na ana hela balaHii ni nguvu ya ajabu sana. Uwezo wa ku-ignore njaa na mambo mengine yakaendelea.
Ni kanuni ya maisha ya mabilionea na watu wengi wenye mafanikio mema
Alietunga hii kesi anadhalilika sana, anawapa mashahidi wakati mgumu kupita maelezo maana hata hawaelewi namna ya kutetea ushahidi waoHabari Wakuu,
Leo 15/ 02/ 2022 shahidi wa 13 anatarajiwa kuendelea kutoa ushahidi wake kwenye kesi inayomkabili Mbowe na wenzake 3 baada ya Ushahidi wake kutokamilika jana....
ni laana hiyo na badoJamaa ana matatizo ya kiafya..kibofu si kizima..tumhurumie na kumsame kwa kushiriki ushahidi wa uongo.
Rais hana uwezo wa kutofautisha mahabusu na kuhukumiwa. Hajui mambo mengiKwahiyo tumekubaliana kwamba hakuna mtu ambaye ameshahukumiwa Kwa kesi hii!
Sasa SSH alitoa wapi hizo taarifa kuwa Kuna wastakiwa wenzake na Mbowe wameshapewa sentence zao?
Kibatala kuwa makini,Naona Leo umemchokonoa mh Rais mara mbili!
Hata mimi nasoma kinyonge sana angalau nije kulinganisha tu. Ila mazungumzo yao hayana mvuto kabisaSijui ni mimi tu, ila wakianza mawakili wa serikali hata interest ya kuendelea kusoma inapotea kabisa.
Tunahitaji Rais kama Lissu.Rais hana uwezo wa kutofautisha mahabusu na kuhukumiwa. Hajui mambo mengi
kumbe mbowe baada ya uchaguzi alikamatwa?Kwahiyo tumekubaliana kwamba hakuna mtu ambaye ameshahukumiwa Kwa kesi hii!
Sasa SSH alitoa wapi hizo taarifa kuwa Kuna wastakiwa wenzake na Mbowe wameshapewa sentence zao?
Kibatala kuwa makini,Naona Leo umemchokonoa mh Rais mara mbili!