Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe na Wenzake. Tumaini Swila amaliza ushahidi. Mawikili wa Serikali wafunga Ushahidi. Jaji kutoa uamuzi 18/02/2022

Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe na Wenzake. Tumaini Swila amaliza ushahidi. Mawikili wa Serikali wafunga Ushahidi. Jaji kutoa uamuzi 18/02/2022

Hahahaa Hayati alitumia vibaya sana madaraka yake. Kabla script haija toka walipandishwa vyeo wote whichi means mchongo huo ulikuwa kwa Hayati na Igp.
You got it,that's what i was talking about.

Walipoona Kamanda wa Anga anachanja mbuga na hoja ya Katiba Mpya ni Sasa wakakurupuka kumkamata.

Wrong timing is affecting them a great deal. They didn't delt with the concequences for not asking themselves as why the script owner did not executed his plan?

Just thinking loudly!
 
Kibatala: Katika kumfuatilia Freeman Mbowe kama Suspect Wa Ufadhili Wa Ugaidi, Je Mlikuwa Mnamfuatilia Freeman Mbowe Movement Zake za Ndani na Nje ya Nchi

Shahidi: Nilikuwa sifuatilii, Ramadhan Kingai alisema Yeye anafanya hivyo.

Kibatala: Je unafahamu Kwamba Baada ya Uchaguzi, Mtuhumiwa Freeman Mbowe

Hawa wapelelezi walikuwa wanafanya kazi gani au walikuwa wanatekeleza maagizo? (Mjadala wa kina unaendelea korti ya wananchi mtaani)
 
Wakili wa Serikali Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Baada ya Shahidi huyu namba 13 Tumefanya Assessment Ya Kesi Yetu Kwa Maana ya Ushahidi Ambao Umetolewa Mpaka Sasa ni Maoni yetu Kwamba tume' Discharge Burden ambayo tunatakiwa Kisheria hivyo tunaialika Mahakama Yako tukufu Chini ya Kifungu cha 41 (1) cha Sheria Ya Uhujumu Uchumi na Makosa ya Rushwa ya 2019
Uone Kwamba Washtakiwa Wote Wanne Wanayo kesi Ya Kujibu, Hivyo taratibu za Sheria zifuatwe ili Shauri hili liweze Kuendelea Katika Hatua zinazifuatia za Kuanza Kujitetea.

Wakili wa Serikali Robert Kidando: Baada ya Kusema Hayo tunaomba Kufunga Kesi Yetu Kwa Upande Wa Jamhuri. Asante Mheshimiwa Jaji
Si tulikubaliana tuna mashahidi 23 jamani, mfanye kuwaleta wengine hata wawili basi, au ndo mmegundua nn kwani mbona wote wanao ushahidi mzuri jamani ninyi Jamhuri mbona hvyo lkn?
 
Pamoja na mbwembwe zote kuwa jamhuri kusema italeta mashahidi 25 ktk kesi hii Leo wameomba poo kuishia shahidi wa13 huku mashaidi 12 walio tueleza wangekuja kuyeyuka na kutokomea kusiko julikana.

Shahidi huyu wa leo ndiye aliye mwambia Mh.Jaji leo kuwa taarifa za chifu Hangaya alizosema akihojiwa na BBC kuwa Kuna watuhumiwa wamehukumiwa ktk kesi hii alibakia Mbowe pekee kwa kuwa alikimbia nchini ni za uongo and Nonsense.

Pia alikiri kuwa alifungua hii kesi kwa maelekezo tuu ya mdomo toka kwa Kingai kabla ya mlalamikaji kuhojiwa au kutoa maelezo. Hii Ina maana walifungua kesi kwanza halafu mlalamikaji ndio akajitokeza na kutafuta watuhumiwa wa Ugaidi watakao husika ktk kesi hiyo. Ni sawa na kuandika igizo lako halafu unatauta waigizaji baadae. (Kesi ya kubumba)

Pia alisema ushahidi ktk kesi hii ni wa kuunga unga dot, huwezi upata ushaidi ukiwa umenyooka moja kwa moja kwa kuwa maelezo hayo hayapo kihivyo.

Pia Tukumbuke Shaidi huyu kuna siku alikuwa akiongea mwenyewe Mahakamani bila kuulizwa na mtu Mahakama ikabakia imeduwaa haijui anaongea vitu gani. Sijui ni maonyo alikuwa anapewa kutoka kwa mwenye enzi yote ya mbingu na nchi au ni machozi na damu za watu zilikuwa zikimlilia hatujui.

Tuendelee kula kwa urefu wa kamba zetu.

Mungu yupo na hadhihakiwi anachukia Sana kuonewa kwa mtu asiye na hatia.

Mungu anapo jibu maombi ya watakatifu huwa anajibu kwa Moto na kishindo chake hakuna wa kusimama.
 
You got it,that's what i was talking about.
Walipoona Kamanda wa Anga anachanja mbuga na hoja ya Katiba Mpya ni Sasa wakakurupuka kumkamata.
Wrong timing is affecting them a great deal.They didn't delt with the concequences for not asking themselves as why the script owner did not execute his plan?
Just thinking loudly!
You are right
 
Di tulikubaliana tuna mashahidi 23 jamani, mfanye kuwaleta wengine hata wawili basi, au ndo mmegundua nn kwani mbona wote wanao ushahidi mzuri jamani ninyi Jamhuri mbona hvyo lkn?
Kingai jumanne hivi tayari?
 
Kwa majibu yale aliyokuwa akitoa Inspector Mkuu aliyepewa kazi hii na Afande Boza DCI na Kamishna Msaidizi wa Jeshi la Polisi Kamanda Ramadhani kingai unaona kabisa alikuwa anatwanga huku na kule bila kujali matokeo ya huu mwenendo wa kesi🤣🤣
 
anaweza kufungwa hata kwa shahidi 1.
wingi wa mashahidi sio hoja.
 
Back
Top Bottom