Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 12,576
- 14,522
Kwa hii kesi kwa kujikanganya kule hata wangekuwa na mashahidi Milioni wasingetoboa if haki ikimaraki!!!anaweza kufungwa hata kwa shahidi 1.
wingi wa mashahidi sio hoja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hii kesi kwa kujikanganya kule hata wangekuwa na mashahidi Milioni wasingetoboa if haki ikimaraki!!!anaweza kufungwa hata kwa shahidi 1.
wingi wa mashahidi sio hoja.
Swilla amejibu maswali yote muhimu bwashee!John mimi nakataa aisee. Wametukosesha uhondo. Nilikuwa nataka nisikie ushahidi wa Boaz maana ndiye kila kitu kwenye hii kesi. Ila nimejifunza mengi kuhusu sheria na ushahidi.
Tusubiri hukumu ya jaji kama mbowe na wenzie watakutwa na kesi ya kujibu ili waanze kujitetea. Ikawe kheri kwao
Wengi hawakujuwa kwamba Freeman Mbowe alikwenda Dubai kwa kibali.Kuna Nntu kibaruwa kinaota nyasi.....siku chache zijazo
Lakini tulitakiwa pia tumsikie aliyemtuma Swila. Maana Home boy Urio na Swila wameongelea sana maelezo na kutumwa kwao na Boaz. Angekuwepo ili aongeze nguvu ya kumfunga Gaidi. Pia Homeboy alipeleka ushahidi moja kwa moja kwa Boaz. Tungemsikia piaSwilla amejibu maswali yote muhimu bwashee!
Wewe jamaa unachuki kubwa na Chadema.Ni jambo jema!
hata mimi nikishaona niupande wa serikali wanaongea nakosa hamu hadi nianze kuunganisha dot ndo kidogo kastimu kanakujaSijui ni mimi tu, ila wakianza mawakili wa serikali hata interest ya kuendelea kusoma inapotea kabisa.
Wasiwapoteze tuKuna Nntu kibaruwa kinaota nyasi.....siku chache zijazo
Wamefunga kesi mapema,mashahidi hawana ama hawana jipya.Ushahidi aliotuambia igp upo wapi sasa?You are right
Shahidi: TSh 300,000, na Mheshimiwa Mbowe alitupatia TSh 200,000 kila Mmoja Kwa ajili ya a kwenda Kununua Mavazi, Kesho yake tulikuwa tunaenda Kumpokea Tundu Lissu, Kesho yake Tarehe 27 Tulielekea airport Kumpokea Mheshimiwa Tundu Lissu.
Shahidi: Ambapo Mheshimiwa Mbowe na Khalfani Bwire Binafsi walikuwa katika Gari yake Nyeusi....
Kibatala: Inatosha hapo, Nina Maswali Kadhaaa
Shahidi: MHESHIMIWA JAJI NAOMBA NIENDE WASHROOM (CHOONI)
upande wa serikali wameona wasiwasumbue wasitaafu wale kiinuamigongo yao vyema wasije kudhalilika mahakamani sa hii kwa kuombaomba kila mara kwenda toiletNilitegemea na DCI Boaz naye atatinga ndani ya nyumba pamoja na Mzee Sirro ili kupambana na mawakili wasomi wa upande wa utetezi! Sasa ndiyo basi tena! ☹️
All in all, Jaji angeifutilia mbali tu hii kesi. Maana haina kichwa wala miguu. Watuhumiwa nao wakifungua kesi ya kudai fidia, kwa unyanyasaji walio fanyiwa na polisi! itakuwa poa sana.
Kibatala: Nikisema huenda baada ya Mwaka Mmoja pia Mtaona hana Hatia nitakuwa nawaonea. Je Luteni Denis Urio alishawahi Kuwaambia Kuhusu Gabriel Muhina na Khalid
Shahidi: Hapana
Wakubwa wamefichiwa aibu.John mimi nakataa aisee. Wametukosesha uhondo. Nilikuwa nataka nisikie ushahidi wa Boaz maana ndiye kila kitu kwenye hii kesi. Ila nimejifunza mengi kuhusu sheria na ushahidi.
Pamoja na mbwembwe zote kuwa jamhuri kusema italeta mashahidi 25 ktk kesi hii Leo wameomba poo kuishia shahidi wa13 huku mashaidi 12 walio tueleza wangekuja kuyeyuka na kutokomea kusiko julikana.
Shahidi huyu wa leo ndiye aliye mwambia Mh.Jaji leo kuwa taarifa za chifu Hangaya alizosema akihojiwa na BBC kuwa Kuna watuhumiwa wamehukumiwa ktk kesi hii alibakia Mbowe pekee kwa kuwa alikimbia nchini ni za uongo and Nonsense.
Pia alikiri kuwa alifungua hii kesi kwa maelekezo tuu ya mdomo toka kwa Kingai kabla ya mlalamikaji kuhojiwa au kutoa maelezo. Hii Ina maana walifungua kesi kwanza halafu mlalamikaji ndio akajitokeza na kutafuta watuhumiwa wa Ugaidi watakao husika ktk kesi hiyo. Ni sawa na kuandika igizo lako halafu unatauta waigizaji baadae. (Kesi ya kubumba)
Pia alisema ushahidi ktk kesi hii ni wa kuunga unga dot, huwezi upata ushaidi ukiwa umenyooka moja kwa moja kwa kuwa maelezo hayo hayapo kihivyo.
Pia Tukumbuke Shaidi huyu kuna siku alikuwa akiongea mwenyewe Mahakamani bila kuulizwa na mtu Mahakama ikabakia imeduwaa haijui anaongea vitu gani. Sijui ni maonyo alikuwa anapewa kutoka kwa mwenye enzi au ni machozi na damu za watu zilikuwa zikimlilia hatujui.
Tuendelee kula kwa urefu wa kamba zetu.
Mungu yupo na hadhihakiwi anachukia Sana kuonewa kwa mtu asiye na hatia.
Mungu anapo jibu maombi ya watakatifu huwa anajibu kwa Moto na kishindo chake hakuna wa kusimama.
Si tulikubaliana tuna mashahidi 23 jamani, mfanye kuwaleta wengine hata wawili basi, au ndo mmegundua nn kwani mbona wote wanao ushahidi mzuri jamani ninyi Jamhuri mbona hvyo lkn?