Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe na Wenzake. Tumaini Swila amaliza ushahidi. Mawikili wa Serikali wafunga Ushahidi. Jaji kutoa uamuzi 18/02/2022

Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe na Wenzake. Tumaini Swila amaliza ushahidi. Mawikili wa Serikali wafunga Ushahidi. Jaji kutoa uamuzi 18/02/2022

Mlisema
  1. hatakamatwa
  2. hatafikishwa mahakamani
  3. 14/12 Nolle prosequi italetwa na DPP
  4. Shahidi wa 13 amekimbia
  5. Tutamlisha Mbowe milo yote kama MFALME
  6. MAWAKILI WAPO NA HAWAHITAJI MALIPO
  7. nk nk

NANI AWAAMINI? TUSUBIRI
Kuamini ni kiwango cha juu mno cha kufikia maamuzi...!

Ishu hapa ni KUONA na KUSIKIA...

Ina maana mpaka hapo hujaona wala kusikia mwenyewe..?

Sikiliza ndugu. Manipulation ktk mahakama na ma - Jaji wetu ipo na kufanywa na watawala - serikali sana tu...

Lakini binadamu ana kiwango chake cha kum - manipulate. Ikifikia kiwango fulani, atakuambia tu kuwa, "you have pushed me to the wall, I can't go any more...."

Yuko wapi Job Ndugai na mbwembwe na matusi yake?? Yuko wapi Magufuli na jeuri, matusi na mbwembwe zake...??

Uongo haulipi na hausimami wenyewe hata kidogo. UKWELI na HAKI hujisimamia wenyewe...!
 
Mlisema
  1. hatakamatwa
  2. hatafikishwa mahakamani
  3. 14/12 Nolle prosequi italetwa na DPP
  4. Shahidi wa 13 amekimbia
  5. Tutamlisha Mbowe milo yote kama MFALME
  6. MAWAKILI WAPO NA HAWAHITAJI MALIPO
  7. nk nk

NANI AWAAMINI? TUSUBIRI
Nimeamini leo huna akili kabisa. Wewe ni hopeless kabisa. Pamoja serikali kuwa na kila rasimali lakini imekimbia bado unakuja hapa na story za kitoto.
Furaha yako imeondoka ghafla?
Siku nyingine tumia akili kwenye maisha yako.
 
Mbona Kingai ndiye alikuwa shahidi wa KWANZA
Mkuu habari za siku?Naomba unipe opinion Yako juu ya kukatishwa ghafla Kwa mashahidi wengine 11 tuliowategemea mahakamani!Pili naomba kujua kutoka kwako,kama ungekuwa judge,mpaka hapo Kuna ushahidi usio na shaka juu ya Huo ugaidi?
 
40.-
(1) Where after the prosecution closes its case the Court finds that the evidence for the prosecution establishes a case sufficient to require the accused person to defend himself against the economic Offence charged' it shall so inform the accused person and require him to adduce evidence in his defense.

(2) Where the Court is satisfied that the evidence adduced by the prosecution up to the close of its case is not sufficient to found a conviction of the economic offence charged, but that it establishes a case in relation to a cognate offence which is an economic offence and for which the accused person may be convicted in the alternative, or if the case for the prosecution establishes other economic offences in addition to that charged, the Court shall inform the accused of its finding and require him to defend himself against the offence established by the prosecution instead of the offence charged, or against those other economic offences established by the evidence as well as the offence charged.

(3) An accused person who elects to give evidence in his defense may do so either on oath or without taking the oath, but shall in either case be subject to cross-examination by the prosecution as well as the Court.

(4) Where an accused person who is required to defend himself elects with no apparent excuse not to say anything and, in addition, not to call any witness or witnesses, an inference adverse to him may be drawn, and the Court as well as the prosecution may comment on his failure to give evidence in his defense
 
40.-
(1) Where after the prosecution closes its case the Court finds that the evidence for the prosecution establishes a case sufficient to require the accused person to defend himself against the economic Offence charged' it shall so inform the accused person and require him to adduce evidence in his defense.

(2) Where the Court is satisfied that the evidence adduced by the prosecution up to the close of its case is not sufficient to found a conviction of the economic offence charged, but that it establishes a case in relation to a cognate offence which is an economic offence and for which the accused person may be convicted in the alternative, or if the case for the prosecution establishes other economic offences in addition to that charged, the Court shall inform the accused of its finding and require him to defend himself against the offence established by the prosecution instead of the offence charged, or against those other economic offences established by the evidence as well as the offence charged.

(3) An accused person who elects to give evidence in his defense may do so either on oath or without taking the oath, but shall in either case be subject to cross-examination by the prosecution as well as the Court.

(4) Where an accused person who is required to defend himself elects with no apparent excuse not to say anything and, in addition, not to call any witness or witnesses, an inference adverse to him may be drawn, and the Court as well as the prosecution may comment on his failure to give evidence in his defense
Kwani kuna kesi tena ya uhujumu uchumi?
 
Hahaha raha Sana kuwa mpinzani halafu mpinzani akawa na akili kubwa kupita viwango vya kimataifa. Mungu ibariki Chadema na mashabiki wote popote mlipo.
 
TOKA MAKTABA :

2 December 2021
Bunge la Ulaya(EU) lajadili hali ya kisisasa Tanzania na kukamatwa kwa Freeman Mbowe




Mwenyekiti wa kamati wa mambo ya nje kwenye Bunge la Ulaya, David James McAllister amesema anawasiliana na watu wengi nchini Tanzania ambapo amesema wapo kwenye hali ambayo viongozi, wanachama na wafuasi wa upinzani wanakumbana na udhalilishaji, kushikiliwa kinyume cha sheria na vitisho. Kwa upande wake mkurugenzi wa mambo ya Afrika kutoka umoja wa Ulaya, Laranjinha Rita amesema kuna sababu za matumaini Tanzania ambapo miezi ya karibuni kumekuwa na mwanzo mzuri kwa Rais Samia nyumbani na kimataifa ambapo ametambulisha baadhi ya mabadiliko. Laranjinha amemueleza Rais Samia kwenye uhuru wa kutoa maoni na uhuru wa vyombo vya habari na mabadiliko hayo yamepokelewa vizuri na jamii ya kimataifa. Pia ameongelea ruhusa ya kurudi shuleni kwa wanafunzi waliopata ujauzito. Laranjinha amesema pamoja na hatua zilizofikiwa kuna mapungufu machache ikiwemo demokrasia ya vyama vingi ambapo hakuna uwakilishi wa upinzani kwenye bunge, mwenyekiti wa chama cha upinzani kushikiliwa na umoja wa ulaya itaendelea kufatilia kwa karibu.
Source: JamiiForums




4 August 2021​

Victoria Nuland : Tanzanian Opposition Leader’s Arrest Is “Test” For New President​



U.S. Undersecretary of State for Political Affairs Victoria Nuland was in Tanzania Wednesday where she spoke about the arrest of opposition leader Freeman Mbowe and at least 10 other Chadema party members and staff who face terrorism charges.

Source : VOA

4 August 2021

Ambassador Victoria Nuland | UNDER SECRETARY FOR POLITICAL AFFAIRS


Tanzania, Waziri wa Mambo Ya Nje Dr. Liberata Mulamula | amefanya mazungumzo na Bi. Victoria Nuland naibu waziri mambo ya nje anayeshugulikia masuala ya Afrika ambaye pia amefanya kazi Brussels EU pia mshauri wa Bill Clinton, kutatua migogoro ya Ukraine na Russia alifika Tanzania pia kukutana na viongozi wa vyama vya upinzania Tanzania . Rais Joe Biden sasa amempa imani yake na kumtuma kutatua migogoro na migongano ...
 
Kuamini ni kiwango cha juu mno cha kufikia maamuzi...!

Ishu hapa ni KUONA na KUSIKIA...

Ina maana mpaka hapo hujaona wala kusikia mwenyewe..?

Sikiliza ndugu. Manipulation ktk mahakama na ma - Jaji wetu ipo na kufanywa na watawala - serikali sana tu...

Lakini binadamu ana kiwango chake cha kum - manipulate. Ikifikia kiwango fulani, atakuambia tu kuwa, "you have pushed me to the wall, I can't go any more...."

Yuko wapi Job Ndugai na mbwembwe na matusi yake?? Yuko wapi Magufuli na jeuri, matusi na mbwembwe zake...??

Uongo haulipi na hausimami wenyewe hata kidogo. UKWELI na HAKI hujisimamia wenyewe...!
SAWA. Ila UHALIFU nao unamwisho na malipo ni hapa hapa duniani.
Mkuu habari za siku?Naomba unipe opinion Yako juu ya kukatishwa ghafla Kwa mashahidi wengine 11 tuliowategemea mahakamani!Pili naomba kujua kutoka kwako,kama ungekuwa judge,mpaka hapo Kuna ushahidi usio na shaka juu ya Huo ugaidi?
Mkuu mawakili wa mashtaka wametoa sababu- wanaamini wanaweka ushahidi wa kutoa wa kuwapata na kesi ya kujibu- sasa wapewe nafasi ya kujitetea ili humukumu itolewe. SIDHANI KAMA KUNA MTU MWENYE AKILI TIMAMU ANAWEZA KUTOA MAONI HAPO.
Leo ni Jumanne ya Februari 15, 2022- unatoa maoni gani hapo. Ukitoa nitashangaa sana.
Pengine nikuelekeze usome kifungu cha 40 alichotunia Jaji
40.-(1) Where after the prosecution closes its case the Court finds that the evidence for the prosecution establishes a case sufficient to require the accused person to defend himself against the economic Offence charged' it shall so inform the accused person and require him to adduce evidence in his defense.

(2) Where the Court is satisfied that the evidence adduced by the prosecution up to the close of its case is not sufficient to found a conviction of the economic offence charged, but that it establishes a case in relation to a cognate offence which is an economic offence and for which the accused person may be convicted in the alternative, or if the case for the prosecution establishes other economic offences in addition to that charged, the Court shall inform the accused of its finding and require him to defend himself against the offence established by the prosecution instead of the offence charged, or against those other economic offences established by the evidence as well as the offence charged.

(3) An accused person who elects to give evidence in his defense may do so either on oath or without taking the oath, but shall in either case be subject to cross-examination by the prosecution as well as the Court.

(4) Where an accused person who is required to defend himself elects with no apparent excuse not to say anything and, in addition, not to call any witness or witnesses, an inference adverse to him may be drawn, and the Court as well as the prosecution may comment on his failure to give evidence in his defense


Tusubiri 18.02.2022
 
Acheni kutumia mwanya wa sheria mbovu na kandamizi mlizotunga, kuwaonea raia wema. Siku wakichoshwa na huo uonevu, mtatafuta mlango wa kutokea.
 
Nimeamini leo huna akili kabisa. Wewe ni hopeless kabisa. Pamoja serikali kuwa na kila rasimali lakini imekimbia bado unakuja hapa na story za kitoto.
Furaha yako imeondoka ghafla?
Siku nyingine tumia akili kwenye maisha yako.
40.-(1) Where after the prosecution closes its case the Court finds that the evidence for the prosecution establishes a case sufficient to require the accused person to defend himself against the economic Offence charged' it shall so inform the accused person and require him to adduce evidence in his defense.

(2) Where the Court is satisfied that the evidence adduced by the prosecution up to the close of its case is not sufficient to found a conviction of the economic offence charged, but that it establishes a case in relation to a cognate offence which is an economic offence and for which the accused person may be convicted in the alternative, or if the case for the prosecution establishes other economic offences in addition to that charged, the Court shall inform the accused of its finding and require him to defend himself against the offence established by the prosecution instead of the offence charged, or against those other economic offences established by the evidence as well as the offence charged.

(3) An accused person who elects to give evidence in his defense may do so either on oath or without taking the oath, but shall in either case be subject to cross-examination by the prosecution as well as the Court.

(4) Where an accused person who is required to defend himself elects with no apparent excuse not to say anything and, in addition, not to call any witness or witnesses, an inference adverse to him may be drawn, and the Court as well as the prosecution may comment on his failure to give evidence in his defense

Mkuu usishangilie ngoma bado
 
SAWA. Ila UHALIFU nao unamwisho na malipo ni hapa hapa duniani.

Mkuu mawakili wa mashtaka wametoa sababu- wanaamini wanaweka ushahidi wa kutoa wa kuwapata na kesi ya kujibu- sasa wapewe nafasi ya kujitetea ili humukumu itolewe. SIDHANI KAMA KUNA MTU MWENYE AKILI TIMAMU ANAWEZA KUTOA MAONI HAPO.
Leo ni Jumanne ya Februari 15, 2022- unatoa maoni gani hapo. Ukitoa nitashangaa sana.
Pengine nikuelekeze usome kifungu cha 40 alichotunia Jaji
40.-(1) Where after the prosecution closes its case the Court finds that the evidence for the prosecution establishes a case sufficient to require the accused person to defend himself against the economic Offence charged' it shall so inform the accused person and require him to adduce evidence in his defense.

(2) Where the Court is satisfied that the evidence adduced by the prosecution up to the close of its case is not sufficient to found a conviction of the economic offence charged, but that it establishes a case in relation to a cognate offence which is an economic offence and for which the accused person may be convicted in the alternative, or if the case for the prosecution establishes other economic offences in addition to that charged, the Court shall inform the accused of its finding and require him to defend himself against the offence established by the prosecution instead of the offence charged, or against those other economic offences established by the evidence as well as the offence charged.

(3) An accused person who elects to give evidence in his defense may do so either on oath or without taking the oath, but shall in either case be subject to cross-examination by the prosecution as well as the Court.

(4) Where an accused person who is required to defend himself elects with no apparent excuse not to say anything and, in addition, not to call any witness or witnesses, an inference adverse to him may be drawn, and the Court as well as the prosecution may comment on his failure to give evidence in his defense


Tusubiri 18.02.2022
Sawa mkuu,umekwepa kutoa maoni Yako!
Sijajua kwanini waseme wataleta mashahidi 24 halafu wasitishe ghafla!Hiyo kwangu inanipa mashaka!Kwa kesi kubwa kama hii,unawezaje kurisk kutoleta mashahidi 11 ambao pengine wangeongeza kitu?
 
😀😀😀😀😀😀😀😀cjui kwanini nimekumbuka kale kamsemo ka ATAKE ASITAKE TUTAMLAZIMISHA
 
Waache tu waone yatakayoendelea kuiabisha serikali dhalimu kuendelea nakesi hii ni kuzidi kuonesha udhaifu wa vyombo mpaka Mahakama yenyewe
 
Sawa mkuu,umekwepa kutoa maoni Yako!
Sijajua kwanini waseme wataleta mashahidi 24 halafu wasitishe ghafla!Hiyo kwangu inanipa mashaka!Kwa kesi kubwa kama hii,unawezaje kurisk kutoleta mashahidi 11 ambao pengine wangeongeza kitu?
Mkuu ninadhani mawakili wa utetezi wameshindwa kutoboa ushahidi wa upande wa mashtaka pamoja na madodoso ya siku tatu kwa shahidi mmoja bila narudia bila kuufunika ushahidi.
Wao walikuwa wanatikisa ila kutikisa siyo kuangusha.
 
Mbona hueleweki? Umesema wewe au ndio wewe Judge
Mbona huwa mnaona watu wote wajinga
Imeamuliwa saa ngapi kwani?
Kazi kweli kweli
 
Back
Top Bottom