Mwambia huyoo Mkuu wa Wanafiki TanzaniaSikupendi kwa vile wewe ni mnafiki, wewe ni "muuaji". Unafiki ni UUAJI. Unajua fika kuwa wamiliki wa vyombo vya habari wamezuiwa na Jiwe kutangaza habari za Lisu, leo unaleta unafiki kuwa uliwashauri CDM! Sema kauli thabiti kuwa "Kama ingelikuwa siyo kuzuiwa kutangaza habari za Lisu, tungelipata nafasi nzuri ya kuwapima wagombea". That would be a sensible statement expected from a person of your calibre!
Daah.. hiyo nyomi haimuachi salama jiwe na genge lakeHivi wewe akili zako zikoje? Huwa una mtindio?
Kanda ya ziwa ipi unayoongelea wewe? Na hapa ni wapi?
Chief Rumanyika alimkaribisha John Speke kwahiyo kukaribisha wageni ni jambo la kawaida kwetu ila hiyo huwa haithiri uwezo wetu wa kufikiria.Labda Wahaya wa Kichwani kwako.
Mgombea Urais kupitia Chadema Tundu Lissu leo anatarajiwa kuingia kwa kishindo kikubwa mjini Bukoba.
Mji wa Bukoba ambao ni ngome Kuu ya Chadema unatarajiwa kuzizima Leo wakati shujaa huyo atakapokanyaga viunga vya mji huo.
Mgombea Ubunge wa Bukoba Mjini mwenye ushawishi mkubwa Chief Kalumuna amewaalika wananchi wote wa Bukoba kumlaki na kumsindikiza kwa maandamano makubwa mgombea huyo wa Urais atakapowasili Hadi katika viwanja vya Gymkhana.
Wachunguzi wa siasa za Bukoba wanasema huenda Leo mji wa Bukoba ukavunja Rekodi ya Mapokezi iliyowekwa na miji ya Tunduma, Mbeya na Mwanza.
Mpaka Sasa kila dalili zinaonyesha mgombea Urais kupitia Chadema Tundu Lissu ana Uhakika wa kushinda kwa zaidi ya asilimia 60%
Kabla ya kuingia Bukoba Mjini Lissu atahutubia mikutano katika miji ya Karagwe na Misenyi
Nimepa miss home!!Hapa Missenyi Mh.Tundu Lisu amesubuliwa watu wamekesha uwanja wa mashujaa chakaza...bendera za chama zinapepea Kila upande
Niyeye2020
Kweli ndugu, mara nyingi huwa namsoma Pascal hapa huwa simsomi vizuri!! huu unafiki wa kiuuaji kautolea wapi? akili anazo anajifanya kujitia uchizi!! macho anayo anajifanya kipofu!!masikio anayo anayo anajifanya hasikii na hamsikii huyo mzee wao anayejifanya Mungu mtu!! mnafiki sana Pascal.Sikupendi kwa vile wewe ni mnafiki, wewe ni "muuaji". Unafiki ni UUAJI. Unajua fika kuwa wamiliki wa vyombo vya habari wamezuiwa na Jiwe kutangaza habari za Lisu, leo unaleta unafiki kuwa uliwashauri CDM! Sema kauli thabiti kuwa "Kama ingelikuwa siyo kuzuiwa kutangaza habari za Lisu, tungelipata nafasi nzuri ya kuwapima wagombea". That would be a sensible statement expected from a person of your calibre!
Pascal ameniudhi sana. Anajua fika yeye kama mwandishi wa habari, akiandika habari za Lisu anafuatwa na wasiojulikana, leo anasema niliwahi kushauri hamjatekeleza, wakati anajua kuna udikiteita wa Jiwe umezuia kila kitu!Kweli ndugu, mara nyingi huwa namsoma Pascal hapa huwa simsomi vizuri!! huu unafiki wa kiuuaji kautolea wapi? akili anazo anajifanya kujitia uchizi!! macho anayo anajifanya kipofu!!masikio anayo anayo anajifanya hasikii na hamsikii huyo mzee wao anayejifanya Mungu mtu!! mnafiki sana Pascal.
Labda kama watakuwa na TCRA yao.Asante sana Mkuu Molemo , kiukweli tungefaidi sana kama Watanzania tungepata fursa ya kushuhudia live kuputia TV, mikutano yote ya Tundu Lissu, kama tunavyo ishuhudia mikutano ya mgombea wetu Magufuli, ili Watanzania tuwapime tuamue tunamchagua nani!.
Nakumbuka hili niliwahi kushauri Chadema lakini hamsikii...
Elections 2015 - Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ...
Nilisema
P
Uwanja wa Chato umejengwa na Magufuli kwa matakwa yake na kwa pesa za korosho toka Mikoa ya kusini shida za toka Uhuru za wakazi wa huko bado ziko palepale kama zile za Chato. Wananchi wa Chato shida zao kubwa ni maji Safi na salama na ardhi nzuri kwa kilimo na mifugo waliyonyang'anywa kupisha uwanja na Mbuga ya Wanyama ya Burigi. Toka uwanja ujengwe ni Marais Kenyatta na Museveni ndo wanatumia kuja kumshauri aliyejenga, je bila uwanja wangeshindwa kufika?Huyo ndo Rais wa kweli atakayeleta maendeleo ya kweli, achana na Meko ambaye kwa sasa anafanya kazi ya kujitetea tu majukwaani.
Mara ooh, vitambulisho vya machinga sio lazima, mara ooh, serikali ya majimbo italeta umaskini, mara ooh, uwanja wa ndege wa Chato haujajengwa Rwanda.
Yaani kwa sasa hata ilani yao ameamua kuiweka kando. Atakufa kwa pressure huyu dikteta.
"Watu waliofilisika kisiasa na kisera, wanajinasibisha kwa kikabila ama kikanda na kidini" aliyasema haya Mwalimu J.K. Nyerere.Pascal Mayalla Unaona sensible people walivyojibu, sawa kabisa na mimi nilivyoandika hapo juu post #28 as if tumewasiliana na Molemo, while it is not . Haki hujitenga na uongo, unaona haki zilivyojikusanya pamoja! Pascal Mayalla acha ukabila, unakutoa ufahamu kabisa , you can no longer make any reasoned statement due to tribalism!
Sasa kwa mfumo wa magazeti kuwa na mwelekeo mmoja wa kiuandisbi kama huu, unadhani kuna media iko salama? Hawataki kiwatokee kilichowatokea Tanzania Daima, Mawio na Mwanahalisi. Rai la miaka hii sio sawa na Rai la akina Ulimwengu, Salva Rweyemamu, Dr. Gideon Shoo na Johnson Mbwambo. Hata Raia Tanzania nao wameufyata. Then tunaaminishwa kwamba mzee baba anapendwa. No way wakuu. NawasilishaMkuu Fahamu TV zote zimekatazwa kurusha Live mikutano ya Chadema.
Tulikuwa tynarusha kupitia Chadema Media You Tube Platform yetu wiki iliyopita kijana wetu aliyekuwa anafanya kazi hiyo kakamatwa na kufunguliwa mashtaka na TCRA kwanini anarusha mikutano ya Chadema
Kwani lazima uamini anachosema Pascal Mayalla, it's either you choose to agree or disagree with his opinions. Maandiko yake mengi yameenda shule.
Huyo njaa inamsumbua,fanya tu kumdharau halafu siku imeisha.
Ukishafungua channel kabla hujaweka maudhui unaomba kibali kwanza TCRA. SHida ipo hapo kwenye kibali, maana wakishajua maudhui ambayo unakwenda kuweka basi hupewi, kwa sababu hata ukidanganya kwamba huweki kampeni material, watajua tu, watu si wanaona. Huu wakati tulio nao sio, ule uhuru watu waliokuwa na enzi za JK ulishaondoka.Mbona chadema online wenyewe wanaogopa kufungua chaneli yao ili watu watoe comment zao?
Tuliza mshono dada mkubwa upone haraka haya ya kiumeni tuachie wanaume tufanye yetu, nyie endeleeni kukata viuno tu kwenye fiesta zenu.Lissu anakamilisha ratiba huko kanda ya ziwa hana chake, mdomo wake umemponza. Anachukia meli,treni,daraja la busisi nk. kwa kifupi ngoja akatembee na uwepo wake unawaponza wagombea ubunge na udiwani kupitia chadema.
MV bukoba? Are you serious?Kweli kabisa, maana tumechoka watoto wetu kupata elimu bila malipo, tumechoka kutembea kwenye barabara za lami, tumechoka kukarabatiwa MV Bukoba na kutengenezwa meli mpya, tumechoka Serikali ya awamu ya tano ku-control mfumuko wa bei, tumechoka umeme kusambaziwa umeme vijijini, yaani tumechoka watanzania
Duh...unamtukana Rais na Amiri Jeshi Mkuu....upo wapi Ndugu yangu tukutembelee ?!?!Punguza Uzwazwa mkuu..... Bora kipema cha mguu kuliko kilema cha akili....
Tuliyenae ni kichaa ndio maana watz hawamtaki mmebaki nyie ng'ombe watoto wa dada na wasaka vyeo
Mwenyekiti wako hana akili timamu ndio maana anaropoka na kutukana watu hovyo
Mwanzoni tulishauri wagombea wote wapimwe akili kabla ya kuteuliwa na tume mlikakataa oneni sasa kichaa wenu huyo anavowaua......