ccm tumeamua kunywa sumu. lowasa atatugharimu.
Yaani kwenye Kamati Kuu kuna watu wanaamini Makamba Jnr anaweza kuwa Rais wa Tanzania?
Mimi nadhani huu ni mkakati wa Kamati kuu kutaka Membe ateuliwe kuwa mgombea kwa sababu kama wangeweka wagombea ambao wana ushindani, sidhani kama Membe angefika hata kwenye Mkutano Mkuu.
Ila si ilidaiwa kwamba wameahirisha kikao chao mpaka kesho .....
wala siamini, yaani hamna mkristo hata mmoja, waislam wanne na mpagani mmoja.
mkuu yupo kwenye tano,lowasa kakatwa
Vinasaba vinasaba
Nimeshangazwa sana tano bora ya CCM, yaani January Makamba anaonekana ni bora zaidi ya Mwakyembe?
Yaani kuna watu hapa duniani wanaamini kuwa January anaweza kuwa raisi lakini sio Mwakyembe wala Muhongo na wengineo, very interesting.
Posted by: MCHUNGUZI HURU (Associate Professor)
jamani muda unazidi kuyoyoma,je bado tu mafisadi hawajatoa5 bora?
Kwa hakika nimefurahishwa sana na CCM, kuna wagombea wawili nilikuwa sitaki wapite na hawakupita.
Si siri, wa kwanza Nyerere wa pili Lowasa.
Nyerere kwa sababu hafai kuongoza hata nyumba kumi wacha kuwa Rais na Lowasa kwa sababu ni mgonjwa.
Hao waliobaki, yeyote atakaepitishwa ntamkubali kwa roho moja.
Mkuu,Vinasaba vinasaba
Ila si ilidaiwa kwamba wameahirisha kikao chao mpaka kesho .....
CHICHIEMu wametufanya sie mazoba kwa kweli. Yani unaona kabisa aina ya wagombea wanayemtaka, na nia ya😵bviously sasa liko wazi kutakuwa na mwanamke kwenye tiketi yao, obviously iko wazi Hakutakuwa na mzanzibari, kwani wamemchukua mzanzibari asiyejulikana kuliko wote(ingawa,niwe muwazi kuwa Amina, is a remarkable lady, with the highest dignity).
Yani hapo hii ngoma ni kati ya magufuli na Membe, ukizingatia kuwa Magufuli uzoefu wa mambo ya nje ni nukta nukta sifuri, hivyo basi chaguo la jamaa ni Membe.
Kutokana na Upepo utakavyokuwa Asha can as well be president, while magufuli is now the strongest contender for Next PM should he lose the nomination. Sidhani akikosa atafaa kuwa Makamu.
Makamba,well,it says a lot when a young nominee is chosen in favour of men as qualified as Ramadhani, just for the mere reason he is young. Lowassa with all his shortcomings is 100 times better than Makamba any time of the day...,
Kwa hakika nimefurahishwa sana na CCM, kuna wagombea wawili nilikuwa sitaki wapite na hawakupita.
Si siri, wa kwanza Nyerere wa pili Lowasa.
Nyerere kwa sababu hafai kuongoza hata nyumba kumi wacha kuwa Rais na Lowasa kwa sababu ni mgonjwa.
Hao waliobaki, yeyote atakaepitishwa ntamkubali kwa roho moja.
nimehisi mpaka hapa ukawa watasumbua,kuhusu magufuli lolote laweza tokea,nani alijua lowasa watamkataNatambua hilo kaka...
Namaanisha ili CCM sasa iepuke kuwa chama kikuu cha upinzani haina budi kupitisha jina la Magufuli kuwa mgombea Urais...
Magufuli ndiye pekee hapo anayekubalika na Watanzania...