Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Mm sioni tatizo hapo. Ccm hawana mtu mwingine zaidi ya uyo member na kama yupo hakutangaza nia. Lowassa HATUFAI.
Apo ccm wameingia wenyewe kwenye 18 kama matokeo yatabakia hivi basi ndiyo mwisho Wa ccm
 
Akihamia Chama Kingine mtamfwata?

hapa simaanishi unavyofikiria wewe, changanya vyote na wote ulioshabikia. Mf Mh

Lowasa na wengine wakijiunga na upinzani utafwata au unafiki na njaa? Pamoja na

ukweli kwamba huyu bwana haendi popote. Chama kimefikia ukingoni. Mh atasaidia

sana kukihifadhi akinyamaza kimya tugange yajayo, lkn akitaka kuwaokoa watanzania

ni yeye kukaa pengine PEMBENI AM UPINZANI
 
Nasikia lowasa alikuwa Katimu bilioni 50 mpaka kufikia usiku wa kuamkia leo km mtaji wa urais.
Watu hawana tatizo. Wanataka hela zake tu. Wengi wanaona kukatwa mapema yake mafungu ya mabilioni yaliyokuwa yametengwa itakuwa ndo basi tena
 
Kwa jinsi wanavyopenda kutafuna nchi mimi naamini mwishowe wataungana tu kumpiga tafu mpeperusha bendera wao.

Hii nchi tamu bana....hususan kama unayo meno ya kuitafunia.....

Ni kweli mkuu. Ccm haitabiriki
 
Kwa jinsi wanavyopenda kutafuna nchi mimi naamini mwishowe wataungana tu kumpiga tafu mpeperusha bendera wao.

Hii nchi tamu bana....hususan kama unayo meno ya kuitafunia.....


Ha ha this is Africa mazee yaani unajiuliza whats so special unakosa jibu....
 
Apo ccm wameingia wenyewe kwenye 18 kama matokeo yatabakia hivi basi ndiyo mwisho Wa ccm

Naunga mkono hoja,kwanza running mate kuwa mwanamke wa kizanzibari ambae aibu ni kila kitu,mmmh majukwaani,tena bara !
Ila atasaidiwa na Kamanda "embe",
ndo maana bungeni alitambuliwa Ngunguli
 
Hata siamini kilicho tokea, ila nimefurahi fisadi lowasa katemwa. TUONE KAMA PATACHIMBIKA AU LA.

SASA NDIO TUTAJUA LOWASA NA CCM NANI ZAIDI.

kweli ilisemwa sana kiwa akishindwa kitachimbika sasa tuone,cha mno aingie msituni tu mana hakuna namna nyingine tena
 
1.Members:.Huyu ni ndugu na kipenzi wa mwenyekiti na familia kwa ujumla, alishaandaliwa toka siku nyingi,ndo maana hata jana Rais alipoteua wasaidizi wake Ikulu ilikua lazima mtu ufikirie Mara mbili mbili na huyu ndiye mgombea atakayepeperusha bendera ya chama.
2.Magufuli:Huyu nae utendaji wake pekee ndiye uliempatia nafasi hakuna kiingine japo nae ni swahiba wa karibu wawenyekiti.Kwake kupenya kwenye vikao vya mbele ni ngumu sana Labda busara ya kawaida tu itumike.Anaweza kua PM japo kiuhalisia yeye ni bora kuliko wote walioteuliwa.
3.Asha Rose Migiro: Huyu kwanza jinsia ndiyo kigezo pekee japo nae alikwishaandaliwa toka siku nyingi lakini baadae upepo ukahamia kwa mebe. Kwake kupenya mbele inategemeana na kelele za wanawake wenzake mkutano mkuu.
4.Mama Amina: Huyu jinsia na Uzanzibar wake kama mwanamke ndivyo vilivyombeba, Kuna uwezekano mkubwa akawa makamu wa Rais maana naye kupenyeza kwake mbele ni kelele za wanawake wenzie huko mkutano mkuu.
5.January Makamba: Ikumbukwe kwamba huyu bwana baba yake aliwahi kua katibu mkuu wa chama, hiyo pia ni sababu kwahiyo kuna uwezekano kwamba hii ni fadhila na anaandaliwa kwa baadae kumrithi atakaekua Rais,Sidhani kama Janauary Makamba Anaweza kumkaribia Mwigulu nchema kiutendaji wa kazi.Anayo nafasi kubwa sana kupenyeza huko mbele maana wanaomuunga mkono ni wengi lakini atawekwa kando kama JK 1995 nasubiri baadae.

Ukweli na uhalisia ndo huo!

Hujui ikulu kunafanyika nini. Hapo hamna kwenye sifa za urais! Soma upya sifa zinazotakiwa.
1.Frederick Sumaye
2.Jaji Augustino Ramadhani
3.Balozi Mahiga
4.Prof Mwandosya
5.Amina Salum Ali

Watu wenye kelele hawafai ikulu!
 
Waliopita ni;
1. Membe
2. Magufuli
3. Migiro
4. Makamba
5. Amina

Labda Magufuli ndo afadhali wengine hao oovyo kabisa.





Wapi Mwigullu
Mwandosya
Mwakyembe
Ramadhan
Pinda
Unatuwekea Makamba? Membe? Amina? Migiro? Huu utani sasa..... mmeichoka hii nchi nyie.
 
Naona CCM wakifanya kitendo kama kile cha Spika cha kutumia kigezo cha Mwanamke.
Hapa mgombea ni Asha Rose Migiro.
 
Back
Top Bottom