Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Kumekuwa na ubaguzi wa hali ya juu sana ndani ya cm kuhusu watu wanaotoka kanda ya kaskazini na kihistoria watu wanaotoka kanda ta kaskazini wanapopewa nafasi za juu huwa wana deliver sana.
Mfano, sokoine, msuya nk

napenda niseme mwaka huu ni mwaka wa kaskazi piga ua galagaraza ni kaskazini dr.slaa,makamba,lowassa

Kaskazini ...Nyanda za Juu an Ziwa wote wameungana maana kwa pamoja ndio wamekuwa victims wa ubaguzi ndani ha ccm
 
Nataka tu kusikia kauli ya Kingunge na mwenyekiti wa CCM mkoa wa Shinyanga,Hamis Mgeja na yule alietua kwa chopa pale Arusha maarufu kama "Msukuma".

Na yule aliyemfananisha Edo na mtume mohamad.
 
waliokuwa wanasema patachimbika nasubir pachimbike, sasa naona kimyaaaa! walikopotelea hata sijui!
 
Dah lakin je ni kwl kwamba toka uhuru mikoa ya bara haina watu?yaan ni mtw, pwn,lnd tu next tng,mana yk mb,rvm,ddm,tbr,mwnz,kgm,rkw,irng,ktv,kgr,sngd..vchw hakna??
 
Ukawa wakimchukuwa Eddo mi naachana na siasa na nahama ukawa.
Kuna facts na uadirifu nje ya ushindi: Ccm wamalizane huku sisi ukawa tunayetu

Dr. Slaa for Presidency:
haha...lakini ukawa sio chadema tuu na huwezi jua, akichaguliwa professor?
 
Habari hii si rasmi bado ni uvumi tu na makisio tu,Ila kama ni kweli ccm wanayo kazi naamini wafuasi wake waweza iadhibu ccm kwenye sanduku la kura,ila kama angepita kungekuwa na uhakika wa ccm kushinda kwenye uchaguzi mkuu.
 
Kitakachomuuma zaidi ni yale mapesa aliyokuwa anayamwaga km mchanga wa bahari.Chonde mliopewa mapesa yale rudisheni hata kidogo basi ili kumpunguzia stress huyu mzee.

Sidhani kama zitamuuma kivile. The guy is rich. Ana mihela kibao ya wizi.
 
Jamani hivi akili watanzania tumelogwa? Kwa nini mnawaza vitu ambavyo tuna uwezo navyo ? Issue iliyoko hapa acheni kumuangalia membe hiyo ni gear ya kikwete kujiandalia ulinzi Kwa sababu membe na magufuri ni watu wa kikwete.
 
Hapo hakuna rais hata mmoja. Dr. Slaa hagombei, Lowassa amekataliwa na chama chake kwa shinikizo la Slaa na UKAWA, Makamba bado hana uwezo wa kuongoza nchi. Labda kama Lowassa atagombea kupitia ACT, lakini pia Lowasaa hatakaa awe rais wa Tanzania kwa namna yoyote ile. Lowassa amechoka, anaonekana dhaifu, hawezi kuongea kwa ufasaha, anaonekana hata uwezo wa kujioganize yeye mwenyewe kama alivokuwa miaka ya 90 na mwanzoni mwa miaka ya 2000 kwa sasa hana tena.
 
Na wewe hauko objective mbona jk kampitisha mtu anayesadikiwa kuwa ndugu ya wa karibu? Mtu kupenda kwao siyo tatizo hata kidogo labda tu awe objective
Ufinyu wako wa mawazo unakuchora ni namna gnai hufai kwa ujenzi wa taifa na ukombozi wa wanyonge.

Watanzania hatutaki itikadi za ukabila.

Baada ya kuvunja utemi na uchifu, hatuhitaji kuongozwa kwa misingi ya makabila au makanda. Tanzania ni moja. Tunamtafuta kiongozi sahihi wa Tanzania bila kujali anatoka kanda gani, yeye ni rangi gani, au dini gani.

Hayo mambo mambo ya kutengeneza itikadi za migawanyiko kwa watanzania hatutaki!. Sisi sote ni taifa moja!.
 
Wakati mwingine mtu hupaswi kujiamini kwa 100% ikiwa wewe sio mwamuzi wa mwisho.
 
Back
Top Bottom