Ahsante Mungu kwa kusikia kilio cha watanzania, manake angepitishwa huyu mamvi waja wako tungepata shida sana.
Membe iz our new prezidaaaaaaaaa
Na yule aliyemfananisha Edo na mtume mohamad.
Ila wakuu tuwe wakweli,Membe hana material
Ila wakuu tuwe wakweli,Membe hana material
Hijawahi kutokea, mbwembwe zoote, pesa zoote na nguvu zoote alizotumia mh Edward lowasa na sasa ametolewa nje!
Janja ya lowasa ilionekana toka zamani alijifanya kuwa na upendo kwa makundi mengi ya kijamii ilhali akijulikana dhahiri kuwa hafai ktk urais.
Nimefurahi sana anguko la ufalme huu wa Giza CCM!
Nasubiri tena Membe akatwe moyo wangu utulie. Magufuli the candidate
Kumekuwa na ubaguzi wa hali ya juu sana ndani ya cm kuhusu watu wanaotoka kanda ya kaskazini na kihistoria watu wanaotoka kanda ta kaskazini wanapopewa nafasi za juu huwa wana deliver sana.
Mfano, sokoine, msuya nk
napenda niseme mwaka huu ni mwaka wa kaskazi piga ua galagaraza ni kaskazini dr.slaa,makamba,lowassa
UHAKIKA NI HUU (bila kufuata namba) 👇👇
1. Magufuli
2. Membe
3. Migiro
4. January
5. Amina Salum
3 Bora itakuwa
1. Membe
2. Magufuli
3. Amina
Halafu Mgombea wa CCM ni
1. BENARD MEMBE
Mgombea mwenza ni
1. Amina Salum
Halafu Waziri Mkuu atakuwa
1. Magufuli
SijaiCOPY n PASTE kutoka kokote ILA ndio taarifa za NDANI.....kaa nayo hii hadi baada ya UCHAGUZI
UHAKIKA NI HUU (bila kufuata namba) 👇👇
1. Magufuli
2. Membe
3. Migiro
4. January
5. Amina Salum
3 Bora itakuwa
1. Membe
2. Magufuli
3. Amina
Halafu Mgombea wa CCM ni
1. BENARD MEMBE
Mgombea mwenza ni
1. Amina Salum
Halafu Waziri Mkuu atakuwa
1. Magufuli
SijaiCOPY n PASTE kutoka kokote ILA ndio taarifa za NDANI.....kaa nayo hii hadi baada ya UCHAGUZI