Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

CCM has chosen to fail, and they will fail miserably.

Njoo huku M4C kijana wetu uliyewahi kufananishwa na mtume.
 
tofauti ipo kubwa tuu..EL anakubalika zaidi na pia aliwahi kuonesha utendaji ulioleta majibu ya mambo ambayo yalikua magumu..kwene swala la maadili huko sifahamu
 
wasiwasi wangu mwenyekit analazimisha membe awe rais, kwenye tatu bora jina la magufuli na makamba hayatarudi hii inamamisha membe apite , ila kwa upande mwingine namsifu kwa kukata jina la huyu mwizi kwani alikuwa anajigamba kwa kutumia fedha alizotuibia
 
.... Taarifa zinazosambazwa juu ya majina yaliyopenyeza 5 bora siyo rasmi.


Taarifa rasimi itatolewa leo asubuhi majira ya saa nne.


Binafsi nina imani Makongoro ndani
 

Ukimya na upole wetu ndo umetufikisha hapa wao wanafikiri ss ni wapumbavu,kitu wasichokijua ni kwamba wakati umegika na hakuna atakayeweza kuuzuia!wakati utaamua.
 
Inachekesha UKAWA wanavojipa moyo... Hahaha ingawa wao mpaka sasa haijuikikani ni nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…