land of wind
Member
- Jul 1, 2015
- 46
- 13
Sio afya kwa chama japo wanapga yowe kua wamerud ktk mising ya chama kitu ambacho ni kigumu kukipata sasa .CCM imekuwa na makundi tangu huko nyuma ila makundi ya mwaka huu yanaweza kukipeleka chama kusikojulikana, hii vita ni kali na gharama zake haziko mbali, labda watokee wenye busara waweke mambo sawa.
membe alijipnga mda sana ...ana kundi kubwa kwenye nec na mkutano mkuu...ccm ilikua na makundi mawili membe na lowasa wengine walikua washikwa pua tuuu........mtu kama magufuli hajajipanga kashtukizwa tu yumo tano bora ataanzia wapi kusaka wajumbe wa nec wakati mda wenyewe umekwisha..kesho au leo mkutano mkuu...jk alijipanga sana na anajua kuzicheza fitna...membe ana kundi kubwa na kuna wajumbe wengine wa edo watahamia kwake
Kwa hiyo unawakubali Maghufuli na Membe wao siyo wizi.
Hamna namna, ilibidi akatwe tu, kheri nusu Shari kuliko Shari kamili.
Hizo zilikuwa ndoto za alinacha( lowasa) na team yake
Wote hawafai,huyo magufuli anapenda sifa za kihaya
Watoke wqpi hao wa busara labda wawagawie vitalu vya gesi kila mmoja na chake ili haki itendeke.CCM imekuwa na makundi tangu huko nyuma ila makundi ya mwaka huu yanaweza kukipeleka chama kusikojulikana, hii vita ni kali na gharama zake haziko mbali, labda watokee wenye busara waweke mambo sawa.
Maji ya kwenye kikombe kamwe hayasababishi mafuriko, #teamlowassa labda wasubiri 2035 bye bye #teamlowassa