Mbona aibu?Balali ashapanda pipa anakuja. Tunaanzisha vita
Jk is very smart, i like him.
Acha uboya wewe..Elezea ukweli ni Upi
Uongo tu. Hamna ukweli.
Sheria gani isiyoruhusu mtu kutembea na kiasi fulan cha hela??
watu wa lowasa wamekamatwa na mabegi ya pesa..walitaka kwenda kuwahonga wajumbe wa nec ili kuhakikisha membe hashindi..ni mda mfupi uliopita
Usiniite boya kum.ama.ko wewe...
dalili zote za kisayansi na kimaumbile zinaonyesha kuwa mwezi November ccm itakuwa chama cha upinzani dah kweli ni vigumu sana kwa chama kimoja kudumu zaidi ya miaka 50 madalakani ccm itaungana na wenzie wakina KANU cha kenya, FRELIMO cha msumbiji, UNIP cha Zambia, UPC cha Uganda
Acha upotoshaji huyo Muhindi n wa membe kakamatwa st gasper , Mimi Niko Dom n gumzo yaan membe hawamtaki na wajumbe wa MM pamoja na NEC wanahasira na JK , kwa taarifa zinaenda kupigwa kura za kukosa iman na Mkiti pia membe hawamtaki live
CCM ofcourse.
Japokuwa siiungi mkono CCM, mimi nakuona unaota ndoto ya mchana.
CCM wamejipanga kuanzia na zoezi la BVR huku UKAWA wamefumba macho.
Nape keshasema yake..!
Mugabe naye alishasema kuwa ni upumbavu chama tawala kushindwa uchaguzi.