Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Kingunge ....

NEC na Kamati Kuu lazima wapitishe mtu anayekubalika ndani na nje ya Chama...

Lazima wanaoteuliwa wawe wamepitia ngazi zote na mafunzo ya Chama kwani ndiye anaenda kuwa mwenyekiti...

Huwezi kumpitisha mtu ambaye ni mwanagenzi ndani ya Chama...

Lazima tuelewe kuwa atakayependekezwa ndiye anaenda kuwa amiri jeshi wa nchi lazima tujiulize je ana uzoefu gani na masuala ya ulinzi..

Je, amepita JKT...??

Je, Amewahi hata kuwa Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama...?
 

haya uliyoyaandika ya kweli au ni hadithi uliyojitungia? kama ni kweli toa chanzo cha hii hadithi yako.ninachokijua lowasa ameshakatwa na hawezi kufanya lolote la sivyo apelekwe segerea
 

Nawapenda ccm maana wanagawa hela
Kuna mtu kakamatwa na hela sasa sijui leo posho tutapata wapi mkuu. Riz
 

mkuu si umesema unataka Dr slaa awe rais?
 
mmasai wetu yu wapi...aseee kitanukaaaaa si punde....
 
Tuliliona hili mapema na kusema ukweli i was really dissapointed. Hivi tuseme chama cha mapinduzi na wazee wote hawa hawakuforesee hili eti unamtoa Lowassa alafu unamuacha Membe??????
Hivi walitegemea nini????
Kama umemtoa Lowassa lazima Membe nae atoke ili nchi itulie. Ila if it happens Membe anabaki basi its either of the two system i collapse au yatokee machafuko na basi nchi wapewe wapinzani.

Kikwete anatakiwa ajue kuwa muda wa kuweka mazingira mazuri na ya amani kwa kustaafu kwake ni huu. Yaani leo huku kila sehemu napita watu wanasema Lowassa kakatwa Membe kabakishwa na wanaamini ni influence ya Familia ya MKUU kwa sababu Membe na Migiro wote ni watu wa karibu na familia ya mkuu.

Honeslty hali sio nzuri ndugu yangu, hawa jamaa maamuzi yao yanaliangusha taifa rasmi. Tuombeni.
 
tena wakileta kelele ndani ya NEC watatolewa nje haraka sana....

sio kutolewa nje tu...na kuwekwa Lupango

Unajua uzuri wa haya mambo Ushahidi wa Rushwa zote unaweza kupatikana

Nchi hii ukiamuliwa kushughulikiwa unashughulikiwa vizuri sana

Huwezi kuleta Masharubu mbele ya Rais wa Nchi
 
Kwa msisitizo, rais bado ni Lowassa ila kupitia nje ya CCM, infact nashauri ndie awe mgombea wa UKAWA!.

Pasco
Pole sana ndugu Pasco mlimwamini sana Mkwere,naamini katika watu walioumia kwa maamuzi haya ni wewe hata Lowasa mwenyewe hajaumia kama wewe ulivyoumia na tatizo lako kubwa unaamini sana katika siasa za Mtu kuliko Chama kama Taasisi. Ulianza kwa Zitto sasa kwa Lowasa. Na kaa ufahamu kuwa Lowasa hana nafasi Ukawa,panapomfaa ni ACT tuu sababu ndege wanaofanana uruka pamoja.
 
Edward Lowassa kukatwa sawa sawa kabisa ila pia Membe nae alitakiwa akatwe kwa sababu matendo mengi aliofanya EL na Membe kayafanya hivyo membe nae alishapoteza sifa(ninajiuliza kwa nini membe kapitshwa
 
nakumbuka yupo mchungaji mkubwa siwezi mtaja kwa jina akiwa katika kipindi cha mfungo wa miezi miwili alioteshwa UKAWA kuchukua nchi mwaka-2015.

Pia TB Joshua na wachungaji fulani walioteshwa eti ENL ndiye raisi wa JMT awamu ya 5!
 
Yeye ni nani mpaka wambembeleze namna hii, aliingia ubia na nani kuwa lazima awe rais
 
haya uliyoyaandika ya kweli au ni hadithi uliyojitungia? kama ni kweli toa chanzo cha hii hadithi yako.ninachokijua lowasa ameshakatwa na hawezi kufanya lolote la sivyo apelekwe segerea

Siku Hizi Najiepusha Mno Na Sana Kubishana au Kujibizana Na MAPOPOMA. Huna Unachokijua Na Tulia Tu Tulio Jikoni Tuwe Tunakupakulia!
 

Hvi Asha rose migiro anasali jumapili au yeye ni wale walioko kwenye mwezi mtukufu wa ramadhan namanisha muislam?
 
Lazima sauti za wananchi zisikilizwe....

Anaulizwa kwa nini majina yamechelewa sana kutangazwa tofauti na miaka ya nyuma??

Kingunge anasema...

Inatia shaka katibu wa itikadi wa NEC alisema hakuna mtu ambaye ataruhusiwa kukata rufaa...

hii ni mbinu ili masuala yasijadiliwe kwa kina na watu kukata rufaa...

Kingunge anasema utaratibu wa mwaka huu ni wa hovyo tofauti na miaka ya nyuma...

Kuhusu kauli ya kina Nchimbi & Co...

Anasema utaratibu wa kamati kuu ni kujadili na kupata concensus, lakina misingi ikikiukwa wajumbe wana haki ya kikatiba kuonesha hisia zao...

Lakini wengine wanatumia demokrasia hiyo hata kutoka nje ya kikao...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…