Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Nimekumbuka Kagame kipindi cha ugomvi wake na JK alishasema kuwa Membe anamsapoti JK katika vita yake dhidi ya Kagame kwa vile Mama Salma na mke wa Membe Dorcas wamezaliwa kijiji kimoja na kusoma shule na wamekuwa marafiki kwa muda mrefu. Nimekumbuka pia wakati wa uchaguzi wa viongozi wa NEC Mama Salma na Ridhiwani walimpigia kampeni sana Membe hadi akapita kwenye lile kundi la watu 10. Ninachokiona hapa ni mwendelezo wa JK kumuachia Membe madarakani ili alinde maslahi yake na familia na wala Membe siyo chaguo la wanaCCM bali ni chaguo la mwenyekiti wa CCM. Naamini ata Magufuli atakatwa tu JK anaona ata akikosa Membe bora ampe mwanamke Migiro au huyo mama mwingine ili asisumbuliwe baadae ila anajidanganya kwa vyovyote mipango yake itafeli watanzania wanataka rais wa kuwaletea mabadiliko wasipomuona ndani ya CCM wamtamfata UKAWA Dr. Slaa
 
Zitto jiandae kung'oka ACT-Wasaliti mwenye chama anakuja nae si mwingine ni EL

Lowasa kama akihamia ACT atakuwa kajidhalilisha. ACT, awali ya yote, iliasisiwa na kina Nape na Kinana. Yampasa abaki huko huko ili apambane nao vizuri.

Ila kwangu mimi kung'olewa kwa Lowasa kumehitimisha ndoto yangu ya kyuona rasmi ya warioba ikirudi. Nimeandika maumivu!
 
Hamna ubaya mimi kuwaitwa Mohd ni jina zuri tu kwangu lakini usilete kejeli nimemuleza kiungwana tu.


Teh teh teh ndo wewe mmiliki wa hiyo ID naona unaitumiaga ukileta zile hekaya zako....
 
Sababu zilizotumika kumfyeka Lowasa zinamgusa moja kwa moja Membe

Hapo wafanye balancing,toa Membe,weka mzee Ramadhan au Makongoro then game iendelee
 
Naona Nape anagoma kuongea na waandishi wa habari anasema si kila anapotoka nje watu wanataka aseme...

Mapolisi wametanda nje ya ukumbi na wananchi wanaimba kwa sauti kubwa kuwa Lowasa ndiye rais
 
nina wasiwasi na mkutano mkuu utaendelea sijui au watahalisha!!!!!
 
hivi hawa ccm wanaofanya fujo kuwa wanamtaka lowassa wangekuwa ukawa si wangeshapigwa mabomu. Ama kweki hii ni policcm
 
Endelea mkuu kutupa update sisi huku wa vijijini, safi sana ya saa tisa bado nn mwasho chaji itakata na solar ni folen, tuambie kwenye lisaa hili,nini kinaendelea, hongeraaaaaaa!

mimi yangu macho
 
Back
Top Bottom