peterwapeter
JF-Expert Member
- Jun 17, 2013
- 529
- 269
kweli eee!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona ndugu. Inatia huruma ni jinsi gani tunanunulika kirahisi hivyo. Kipindi cha kuvua gamba walitaka afungwe Leo wanataka awe raisi. Eeh Mungu baba tunusuru na pepo hili pepo LA ujinga pepo la kununuliwa ili kuuza nchiWatanzania tunahitaji elimu. The same fisadi wa richmond ametufilisi sahv tunamlilia
Fwatilia online fungua website ya CcM au jestina blog utaona linkMimi kwangu ,magufuli,amina salim ally ,January makamba. ila wadau siye tulio mbali tunafuatiliaje? je kuna mtandao wowote uko online?
yaaani huyu panya kiboko...hata baada ya kutolewa ndani ya mtungi bado anataka kurudi?...huyu ni panya kweli au nguchiro?
Nina hakika huyu mtoa updates yuko Dom maana kuna mtu wangu mwingine ananipa hizi hizi toka Dom!Kuweni makini sana. Mtu anaweza kuwa manzese anauza mitumba halafu anawazuga yupo Dom.
Ndio maana hata picha ya geti hawezi kuweka
Sema kukuletea na wala sio kutuletea.
CCM isilogwe kutuletea mgombea nje ya Magufuli!
Piece or Peace? sio lazima uandike kiingereza jamani...
Nina hakika huyu mtoa updates yuko Dom maana kuna mtu wangu mwingine ananipa hizi hizi toka Dom!
Watanzania tunahitaji elimu. The same fisadi wa richmond ametufilisi sahv tunamlilia
safar ya matumaini imekufa
lowassa ni nani amtishie Raisi wa nchi na kutuharibia chama?? hao wafanya vurugu ni wale wamenunuliwa. polisi ifanye kazi yake sweka wote ndani wakanyee debe hadi uchaguzi uishe hapo october. wapeleke njaa zao huko
yaaani huyu panya kiboko...hata baada ya kutolewa ndani ya mtungi bado anataka kurudi?...huyu ni panya kweli au nguchiro?