Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais


Aende zake huyu mzee,hawezi kutuchagulia rais fisadi ambae ananuka kuliko hata kinyesi cha nguruwe. Wao Kama wanaona ameonewa wahame Chama milango iko wazi na tunawatakia kila la heri. Hata waende wapi hatumpi urais Lowassa
 
Jf kunani? accessibility iko very restrictive na bado hatupati thread kama kawaida? Mmeingiliwa na mwenyekiti?
 
aende akajiunge na cha kingine yeye si anajimini raia wengi wanamkubali kwani lazima awe raisi kupitia ccm?!

Kushinda uchaguzi sehemu ya urais kwa tiketi ya chama tofauti na ccm ni ngumu ,si unajua wanafunga hata kwa mikono
 
Anasema top 5 wote hawana hadhi ya uenyekiti wa chama.
 


halafu ujue magufuli kama hajaamini hivi..yaani ameokota embe dodo chini ya mwarobaini....
 
akili nyingi sana
 
Kule hakuna simu wala mwandishi,na kumezuiwa vikali,umejuaje?
 
Jf kunani? accessibility iko very restrictive na bado hatupati thread kama kawaida? Mmeingiliwa na mwenyekiti?

Kumbe umestuka mkuu. Thread haziendi kabisa. Mtandao umekuwa hacked naona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…