Tatizo lililopo ni how comes Bernad Membe aingie top 5????? kwa vigezo gani alivokuwa navo vya kumshinda Lowassa??????
Kama Lowassa kakatwa kwa nini Membe hakukatwa???? Ukiliwaza hili swali hata ukiwa raia wa kawaida tu lazima upate shida.
Swali lingine how comes Migiro amepenya hadi tano bora???? Tuseme Migiro uzoefu wa kimataifa na serikali kamzidi Dr. Mahiga???? Hapo hata kama hujaenda shule lazima ujiulize.
Swali lingine walimshawishi Jaji Ramadhani kuwalaghai kina Warioba ili wasiwashe moto??? alafu wamekuja kuwasuprise dodoma????? Haya ni maswali mengine mazito sana.
Swali lingine watu wanajiuliza Makamba kaprove kitu gani kwenye nini hadi kumshinda mtu kama Muhongo???? yaani hadi aingie tano bora????
Watu wanajiuliza vilevile Membe ana kitu gani special sana wakati alishawai kutamka kuwa ye ni mtu wa kisasi yaani akiwa raisi maadui zake 11 waamie kenya???? Hivi wale wazee wote makini hawakuliona hilo??????
Watu wanauliza kuwa how comesmtu aliyesema Tanzania kujiunga na OIC akiwa kama waziri wa mambo ya nje hadi akaitilafiana na baadhi ya viongozi wa dini leo chama kinamuona yuko sawa hata kuingia 5 bora?????
Ukiangalia kwa makini kuna maneno yamekuwa yakisema kuhusu project WAMA na hili ndo limekuja kujidhihirisha hapa.
KIUKWELI NI KWAMBA ILI HAWA JAMAA KUONEKANA WAKO FAIR WAREKEBISHE UAMUZI WAO JINA LA MEMBE WALITOE, MIGIRO ATOKE NA LOWASSA ASIWEPO ILA WAWEKE WATU AMBAO HATA WAKISEMA TUMEWACHAGUA HAWA BASI JAMII IWEZE ANGALAU KURIDHIKA NAO.