Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Huyu mzee ana ujinga wa kiasi hichi,hivi kwa umri wake kwa
nini asitunze angalau kidogo heshima aliyokuwa nayo kwenye jamii.Kwa kitu gani kujitoa ufahamu kiasi hicho Kingunge huyu.
 
acha kuota. Nec wameanza kupga kura kama dk20 zilizopita. Mkutano mkuu wa3 bora utakuwa saa3 usk. Na mgombea urais no1 atapatikana majira ya saa9usiku.

Mkuu sio mimi niliemkata omo ya nini sasa
 

Wakipitisha madudu bungeni Poa, Wakipitisha madudu huku kwenu povu hadi puani
 
Nafkri ACT kuna nafasi. Bw Lowassa aweza hitajika huko. usichelewe baba changamkia huko. Kama ulipendwa wewe na si chama wafuasi wako watakufuata. Sisi ni observer tu!

What does ACT mean??
A=Akikatwa

C= Ccm/ Chadema

T= Tunamchukua
 
Mzee Kingunge pole sana hayo ndiyo madhara ya kupokea hela za watu angalia unavyohangaika, haikukupasa wewe mzee kuendelea na mambo hayo kwa sasa. Mtaisom mwaka huu
 
Anguko la lowassa ni anguko la watia nia na wagombea wengi wa viti maalum kupitia CCM hasa upande wa bongo movie. nina imani kupita kwao kutakuwa kwa kuchechemea kama sio kuanguka pia. hakutakuwa na uuzaji wa sura tena
 
Top three
1. Magufuli
2. Membe
3. Migiro
Kusudio la ccm ni kumpitisha Membe lakini Kwa kuwa mamvi amekatwa timu yake itahamia kwa Magufuli ili kumkomoa #Membe
 
sema nguvu ya wezi...hivi kama wananchi mnanunuliwa kwa kanga na kofia sembuse pale hela ya ukweli inapomwagwa? hiyo ni nguvu ya hela za wezi na si nguvu ya wengi. Hatumchagui mtu kwa kuwa anapendwa...kama unampenda nenda ukanywe nae chai
Mrembo una majibu mazuri hadi nimekupenda ghafla. Ntakupataje aisee??
 
Unapenda kuangalia Video za Ngono kuliko Television Kimsingi Ndo alichokisema mzee Kingunge alivyokua akifanya Mahojiano na Mwandishi wa habari mwandamizi wa BBC Charles Hilary na alionekana kupitia Channel ten
Alishahama bbc mda mrefu sana sasa ni wa azam tv
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…