we nadhan ulikua unaangalia marudio AZAM TV & CHANEL 10.
ngoma ni leo kuanzia saa 3 uck
Katumia radio callSidhani km ni kweli,make cm zote zipo.nje
Avotor mkuuMechi ipi tena chief?
Unasema hayo kwa sababu kipenzi wako Fisadi papa amekatwa? Uchaguzi wa KK ni sahini na tutamuuza atayepitishwa bila kupingwa na Ukawa. Utabiri wa ushindi mwaka huu ni CCM 73.5%, Ukawa 23% na iliyobaki ya wasindikizaji. Hilo vumbi ni ndani ya familia yako kwa ajili ya ulevi wako uliyopita kiasi si ndani ya nchi yetu ya amani. ushindwe na ulegee.
Makufuli huyuhuyu aliewataka wananchi kama hawawezi kulipa nauli 200 kwenye pantoni waogelee!! Arudishe kwanza nyumba za national housing alizojigawia yeye na gamba jenzie Maembe!
Hatukubari kutawariwa tena na ccm mwaka huu
Ndivyo ilivyopangwa na hatimaye Dr Migiro ndio ataibuka kidedea, Magufuli aliandaliwa kuwa PM na huyo January anaenda Foreign Affairs kuchukua nafasi ya Membe!!
Dr W.Slaa ateuliwa rasmi kupeperusha bendera ya UKAWA hiyo ndio raisi wa Tz.