muamasishaji
Member
- Aug 4, 2012
- 29
- 3
Hivi ni kweli au propaganda?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanajamvi,lazima tukubali kwamba,tangu nchi hii ipate uhuru,kama CCM watampitisha Magufuli ktk nafasi yaUrais na hatimaye kushinda,ndiye atakuwa Rais Bora kuliko wote baada ya Nyerere.Hana Makundi,ana uwezo wa kusimamia nidhamu ya watumishi wa umma na ni mtu pekee anayeingia kwenye kinyang'anyiro bila kutumia nguvu kubwa,utendaji wake unambeba.Historia mbaya aliyonayo ni ya kuuza Nyumba za serikali.Hata hivyo alikuwa anatekeleza amri ya bosi wake;Hon Ben.Tumpe support,ila Ukawa tuwape wabuge wa kutosha ili bunge liwe uwezo wa kuiadabisha serikali.Utaratbu wa yes--ndiyoooooo!!!!!bungeni uishe kabisa.
Dr John Pombe Magufuli ndie atakaye peperusha bendera ya Tz na ccm. Mungu akampe afya na nguvu kuwatumikia wa Tz. Kusema kweli haki imetendeka na tunasababu kumuunga mkono Dkt Magufuli, he do a very gud job in ths nation.
Wakuu kwa mujibu wa mjumbe ndani ya kikao cha NEC amesema January, Magufuli na Migiro ndio waliopenya tatu bora.
Makufuli huyuhuyu aliewataka wananchi kama hawawezi kulipa nauli 200 kwenye pantoni waogelee!! Arudishe kwanza nyumba za national housing alizojigawia yeye na gamba jenzie Maembe!
Ninachoona ni kwamba chaguo la wengi ndilo linalostahili kupewa kipaumbele, ila katika suala la machafuko nakataa; LOWASSA he deserve to be among of them, ila kuna mambo kadha yanakataa ukiangalia zile sifa 13 alizozianisha mangula kabla hata ya mchakato huu kuanza.. Ileee #3 inamtoa mheshimiwa LOWASSA.. BUT HE DESERVE , COZ HE'S THE PEOPLE CHOICE.
Endelea mkuu kutupa update sisi huku wa vijijini, safi sana ya saa tisa bado nn mwasho chaji itakata na solar ni folen, tuambie kwenye lisaa hili,nini kinaendelea, hongeraaaaaaa!
mimi yangu macho
huogopi 'kukatwa' mkuu?
Wanajamvi,lazima tukubali kwamba,tangu nchi hii ipate uhuru,kama CCM watampitisha Magufuli ktk nafasi yaUrais na hatimaye kushinda,ndiye atakuwa Rais Bora kuliko wote baada ya Nyerere.Hana Makundi,ana uwezo wa kusimamia nidhamu ya watumishi wa umma na ni mtu pekee anayeingia kwenye kinyang'anyiro bila kutumia nguvu kubwa,utendaji wake unambeba.Historia mbaya aliyonayo ni ya kuuza Nyumba za serikali.Hata hivyo alikuwa anatekeleza amri ya bosi wake;Hon Ben.Tumpe support,ila Ukawa tuwape wabuge wa kutosha ili bunge liwe uwezo wa kuiadabisha serikali.Utaratbu wa yes--ndiyoooooo!!!!!bungeni uishe kabisa.
Kukatwa ni Rowasa tu. Wengine wanaenguliwa.
dah hyo tatu bado tu