Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Ukiona mvi ujue busara ipo. Pia hana njaa Bali alitaka kutoa mchango wake kwa taifa hili. Hawezi kuoganaiz vurugu maana vurugu alizifanya kagera vitani
 
Wanajamvi,lazima tukubali kwamba,tangu nchi hii ipate uhuru,kama CCM watampitisha Magufuli ktk nafasi yaUrais na hatimaye kushinda,ndiye atakuwa Rais Bora kuliko wote baada ya Nyerere.Hana Makundi,ana uwezo wa kusimamia nidhamu ya watumishi wa umma na ni mtu pekee anayeingia kwenye kinyang'anyiro bila kutumia nguvu kubwa,utendaji wake unambeba.Historia mbaya aliyonayo ni ya kuuza Nyumba za serikali.Hata hivyo alikuwa anatekeleza amri ya bosi wake;Hon Ben.Tumpe support,ila Ukawa tuwape wabuge wa kutosha ili bunge liwe uwezo wa kuiadabisha serikali.Utaratbu wa yes--ndiyoooooo!!!!!bungeni uishe kabisa.


Umenena vema mkuu
 
Dr John Pombe Magufuli ndie atakaye peperusha bendera ya Tz na ccm. Mungu akampe afya na nguvu kuwatumikia wa Tz. Kusema kweli haki imetendeka na tunasababu kumuunga mkono Dkt Magufuli, he do a very gud job in ths nation.

Sema unasababu.
Nyie ndo mnaojifanya kuwatambua alafu akishaingia mnaanza kulalamika. Alafu tatzo watz hawajui kitu kimoja kuwa ccm wako watendaji lakn hata kama wako watendaji wazur vp, bado wakiingia madarkan watatenda sawasawa na chama kinavotaka sio yeye. Sasa tatzo ni chama sio yeye na kwa mantiki hyo uozo uko palepale refer mh. Six na BMK yake aliongoza kulingana na sera ya chama lakn yeye n mtendaj mzur tu, lakn linapokuja swala la chama hawi mzuri. Usipoteze kura yako mkuu kumbuka n miaka mitano
 
Makufuli huyuhuyu aliewataka wananchi kama hawawezi kulipa nauli 200 kwenye pantoni waogelee!! Arudishe kwanza nyumba za national housing alizojigawia yeye na gamba jenzie Maembe!

..huyo huyo.

..pia alikwenda Loliondo kupata kikombe cha dawa ya babu.
 
Ninachoona ni kwamba chaguo la wengi ndilo linalostahili kupewa kipaumbele, ila katika suala la machafuko nakataa; LOWASSA he deserve to be among of them, ila kuna mambo kadha yanakataa ukiangalia zile sifa 13 alizozianisha mangula kabla hata ya mchakato huu kuanza.. Ileee #3 inamtoa mheshimiwa LOWASSA.. BUT HE DESERVE , COZ HE'S THE PEOPLE CHOICE.

umesema chaguo la wengi je chaguo la wengi ni yupi kat ya hao?
Membe?
Makamba?
Migiro?
Amina?
.............................
Ukichana na magufuli ambaye wamemweka kusindiliza?
 
Endelea mkuu kutupa update sisi huku wa vijijini, safi sana ya saa tisa bado nn mwasho chaji itakata na solar ni folen, tuambie kwenye lisaa hili,nini kinaendelea, hongeraaaaaaa!

mimi yangu macho

Kamati kuu inakalia kikao saa 3 ucku kutafuta 3 bora.
 
Wanajamvi,lazima tukubali kwamba,tangu nchi hii ipate uhuru,kama CCM watampitisha Magufuli ktk nafasi yaUrais na hatimaye kushinda,ndiye atakuwa Rais Bora kuliko wote baada ya Nyerere.Hana Makundi,ana uwezo wa kusimamia nidhamu ya watumishi wa umma na ni mtu pekee anayeingia kwenye kinyang'anyiro bila kutumia nguvu kubwa,utendaji wake unambeba.Historia mbaya aliyonayo ni ya kuuza Nyumba za serikali.Hata hivyo alikuwa anatekeleza amri ya bosi wake;Hon Ben.Tumpe support,ila Ukawa tuwape wabuge wa kutosha ili bunge liwe uwezo wa kuiadabisha serikali.Utaratbu wa yes--ndiyoooooo!!!!!bungeni uishe kabisa.

Well said especially the issue of members of parliament wabunge hamsini kwa hamsini utakuwa ukombozi kwa watanzania.
 
Back
Top Bottom