Wanajamvi,lazima tukubali kwamba,tangu nchi hii ipate uhuru,kama CCM watampitisha Magufuli ktk nafasi yaUrais na hatimaye kushinda,ndiye atakuwa Rais Bora kuliko wote baada ya Nyerere.Hana Makundi,ana uwezo wa kusimamia nidhamu ya watumishi wa umma na ni mtu pekee anayeingia kwenye kinyang'anyiro bila kutumia nguvu kubwa,utendaji wake unambeba.Historia mbaya aliyonayo ni ya kuuza Nyumba za serikali.Hata hivyo alikuwa anatekeleza amri ya bosi wake;Hon Ben.Tumpe support,ila Ukawa tuwape wabuge wa kutosha ili bunge liwe uwezo wa kuiadabisha serikali.Utaratbu wa yes--ndiyoooooo!!!!!bungeni uishe kabisa.