Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kumbe watu ndio wanatongozaga hivi mie sikujua bwana. tunasubiria hiyo saa 3 tumpate Membe au magufuli bwana. sasa tufanyeje tena?
By the way, kwani Lowassa ni Mmeru/Muarusha au Mmaasai?
Hahahaa mbona upo bize hmHakuna ninae mtaka katika hayo magamba...
Wanajamvi,lazima tukubali kwamba,tangu nchi hii ipate uhuru,kama CCM watampitisha Magufuli ktk nafasi yaUrais na hatimaye kushinda,ndiye atakuwa Rais Bora kuliko wote baada ya Nyerere.Hana Makundi,ana uwezo wa kusimamia nidhamu ya watumishi wa umma na ni mtu pekee anayeingia kwenye kinyang'anyiro bila kutumia nguvu kubwa,utendaji wake unambeba.Historia mbaya aliyonayo ni ya kuuza Nyumba za serikali.Hata hivyo alikuwa anatekeleza amri ya bosi wake;Hon Ben.Tumpe support,ila Ukawa tuwape wabuge wa kutosha ili bunge liwe uwezo wa kuiadabisha serikali.Utaratbu wa yes--ndiyoooooo!!!!!bungeni uishe kabisa.
Ukawa ndio mkombozi wa watanzania .
Mawe yote, miti mikubw, mibuyu, makalavert na madaraja kwenye bara bara kuu nchi nzima yameandikwa Mwigulu raisi 2015 ..... sasa anayo kazi ya kufuta hayo maandishi yote
Vitu vinavyoongoza kukatwa
keki
umeme
kiuno
Lowasa
hiki kiingereza cha wapi 'good an option'??