Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Wanajamvi,lazima tukubali kwamba,tangu nchi hii ipate uhuru,kama CCM watampitisha Magufuli ktk nafasi yaUrais na hatimaye kushinda,ndiye atakuwa Rais Bora kuliko wote baada ya Nyerere.Hana Makundi,ana uwezo wa kusimamia nidhamu ya watumishi wa umma na ni mtu pekee anayeingia kwenye kinyang'anyiro bila kutumia nguvu kubwa,utendaji wake unambeba.Historia mbaya aliyonayo ni ya kuuza Nyumba za serikali.Hata hivyo alikuwa anatekeleza amri ya bosi wake;Hon Ben.Tumpe support,ila Ukawa tuwape wabuge wa kutosha ili bunge liwe uwezo wa kuiadabisha serikali.Utaratbu wa yes--ndiyoooooo!!!!!bungeni uishe kabisa.
Hapo nakuunga mkono Mkuu
 
amini usiamini dr migiro ndio atapita, na kigezo kitakua kama ilivyotokea kwa mama makinda,

That is another makinda 'ya eagle' nchi ndo itakuwa ishauzwa jumla!!! no wonder we are called half monked! {am no monkey} Imagine riz ndo the main presidencial advisor!! Nyerere [baba wa Taifa] alimuonea kwa mbali huyu creature,
 
Huyu muhindi aliyekamatwa st.gaspa Na mabegi ya pesa mpaka nimeshangaa.sijuwi atakuwa kambi gani huyu.
 
magufuli ana record ya ku'perform' ktk sehemu zote anazopangiwa hata kama aliyempangia hamtaki! Hii ndio tunasema matendo yako yanakutangulia na kukufuata unakokwenda!
 
Ila wakatwe woote!
wasije wakateua mgombea mwanamke tu na ccm itakua imejikata pia.
 
We Nape unayetuletea Updates unaturudisha nyuma na updates zako ni feki. Tuambie wamepita akina nani acha longolongo
 
Yule aliyekamatwa na pesa asubuhi mfanyakazi wa QUALITY GROUP. Je Yusuph Manji anahusika hapa au?

attachment.php
 
Nchi yetu tumeshuhudia mengi sana kutoka kwa uongozi uliopita kiasi cha kwamba inafikia mahari nchi inaendeshwa kwa style ya bora liende.

lakini kadri upepo unavyoelekea tunaona John P Magufuli unanafasi ya kupota na kuwa mgombewa wa urais kupitia chama cha wa kijani.
Nimaombi yangu uweze kupita ili utunyoshee nchi yetu maana tumekuona atleast unaweza fanya maamuzi.
 
Kwasababu ya upumbavu kama huu na unchaingiaji wakikuda kama huu..ccm itaendelea kutunyanyasa milele,
 
Back
Top Bottom