Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

bwana mdogo, huyu magufuli ana undugu wa damu na msukuma m/kiti wa ccm mkoa wa geita. Baba zao ni mtu na kaka yake..

Kwanza jifunze kuheshim, especially unapojibu kwa mtu ambae haumjui. Lakini sijui kama Magufuli na Msukuma i ndugu. Msukuma ni mwenyeji wa Nzera - Bugando
 
Mwenye no mh. Zitto za airtel anitumie coz za tigo apatikana nimwambie kuwa amstili lowasa ata agombee kwake ACT MAENDELEO coz TLP wamegoma
 
Mkimwaga mboga tunamwaga ugali

ndio usemi wa sasa hapa.dodoma..wajumbe wameapa kumpa.amina s ali labda awahi mbele ya haki

yuko hai hiyo ndie.wanamchagua...sty tuned
Kura za hasira?
 
Sijaelewa utaratibu wa hizo kura. Wajumbe wa nec si walikuwa 385 tu, sasa mbona ukijumlisha hizo kura zinavuka idadi ya wajumbe wa nec?

Mkuu mimi nimewasilisha tu huo ujumbe.

Magufuli aliwekewa njia safi ili pingamizi Zito kwa Lowassa lipatikane.

Viongozi wengi ndani ya NEC hawana imani na Lowassa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…