Duh mkuu ulishafika na huko kumbe! Naam, Chato kuna trafific lights. Naona dalili zote kwamba Dr. Magufuli anapita. Mama Amina atakuwa Makamo.Mkuu naona sasa Chato wajiandae kuna kipindi nilipita pale kulikuwa na taa za kuongozea magari.
Teh teh teh
Huyo wa Kwanza ndo Rais. Wa pili ni makamu wa rais na wa tatu ni Waziri wa mambo ya njeTatu tayari
Wazungu wanasema TO MUCH KNOWLEDGE IS DANGEROUS.... Raisi inabidi awe msikivu wa kusikiliza na kupokea maoni ya wananchi na viongozi wanamzunguka unapochagua kiongozi ambaye anaona ye anajua kila kitu kama magufuli ni jambo la kuogopa sana katika nchi ni vyema kuteua raisi tegemezi ambaye atakuwa msikivu katika nchi na kufanya maamuzi yake...
I am not 100% supporting magufuli kuwa raisi ila I am supporting women Mara mia awe raisi..Nina sababu mia za kupinga magufuli kuwa raisi
Mkuu Nafikiri hayo yatakuwa ni maruweruwe tu yalikupata na si ndoto
Kucheza ni ishara kuwa wapo wamojaAsaa hawa wehuu wanachezacheza si watuletee tutakacho bhanaa
Una uhakika mnatoka wakiwa wamoja?
Kama wajumbe 324 na tuna assume wote wamepigia wagombea watatu jumla ya kura zinatakiwa kuwa 972. Zinaweza kuwa less lakini sio zaidi ya 972.
Oyeeeeee!maghufuli oyee
Hahahahahaaaaaaa! Hawakuwa na jinsi. Wote wamepigwa chininamuona sofia simba kwa sasa roho imesuuzika baada ya kuona wote wamekosa....hahhaaha
Mkuu, mimi nipo hapa Dodoma.
Jipe matumaini hewa! Huku watu wa Lowasa wakiwa wanachana na kuchoma moto kadi zao za umwanachama wa CCM.
Umeona eeeeh! Hapa hakuna haja ya kurudia kura. Zisipotosha inabidi zitoshelezweRound ya kwanza tu kura za Magufuli zinafunga mkutano hamna hata haja ya kwenda round ya pili.
Ndo kinachomfanya awe president material?