Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Ha ha ha ha ha ha ha UKAWAKA sasa nahakika mmeshazimika. Gali la Magufuli lileeeeeeeeeeeeeee plate NO. kijani mmeliona linakwenda magogoni.
 
Mkimwaga mboga tunamwaga ugali

ndio usemi wa sasa hapa.dodoma..wajumbe wameapa kumpa.amina s ali labda awahi mbele ya haki

yuko hai hiyo ndie.wanamchagua...sty tuned
Hawewezi kufanya kosa hilo. Wanataka kubaki madarakani. Hapa ni Dr. Magufuli tena round ya kwanza hakuna kupiga kura round ya pili.
 
humjui vizuri unamsikia hewani,alimvimbia Pinda kuhusu bomoa bomoa ,Pinda akasemea kwa mkulu ,mkulu akaingilia kati jamaa akavimba ni lazima wabomoe lazima sheria ifuatwe
Ndani ya Framework ya sera ya CCM.. Usitegemee Magufuli naye atapata muda wa kuonyesha ubabe.
 
Nimeota amina salumu ndo mgombea wa ccm na lowassa mgombea mwenza...dah hii ndoto hii cjui vp!!..ebu tusubir tuone itakuaje...mana kura za hasira za team lowassa zimeacha mpaka nikaota ivo..

Mkuu Nafikiri hayo yatakuwa ni maruweruwe tu yalikupata na si ndoto
 
Ahahahahah..ccm bhana kiboko.Hivi yule mwanasayansi wa dunia watamrudisha baraza la mawaziri kweli?
 
Nilikuwa bar moja muda mfupi nikiwa na wajumbe wa mkutano huo mkuu inaonekana wamechukizwa sana na Lowassa kukatwa jina na wanasema "plan B" sasa ni kuchagua mgombea dhaifu huku wakisema ni mwanamke ili akishindana na mgombea wa UKAWA ashindwe.

Jamaa wana hasira na wanalalamika sana.
Huwafahamu CCM. Hasira zimeisha na wanaungana ili wabaki madarakani na atakayewabakisha ni Dr. John Joseph Pombe Magufuli. Hawawezi kuendelea kuwa na hasira kwamba waipe UKAWA.
 
Ccm Katika unora wake. Wameingia wakiwa makundi wanatoka wakiwa wamoja. UKAWA wataisoma namba


nimeona nape akitoa kauli kama hiyo..kiha akapita kinana na kumstua aachane na kitu hiyo hasa pale aliposema walesema hatutoki dodoma mara sijui tutazama..kinana amefanya jamb jema kumstua
 
Umesahau Simiyu na Singida. Kuna Wanyantuzu aliowasifia Lowassa na Wanyiramba wa N'wigulu Nchemba.
 
Back
Top Bottom