Na Mwambie Tu Kuwa Kuna Kila Dalili Asha Rose Migiro Akapata Political Advantage Hapa Na Kuibuka Mgombea Rasmi Wa CCM Na Kuna Kila Uwezekano Tukaongozwa Na Mwanamke This Time. WHY? TEAM LOWASSA Hawawezi Kukubali Kumpa Nchi Magufuli Kwani Wanajua Akichukua Nchi Atawatesa Hivyo Hawamwamini Totally Na Hawamtaki Kabisa ISIPOKUWA System, Wazee Wote Wa CCM Kuanzia Mwinyi, Mkapa, JK ( Japo Kidogo ), Mangula, Msekwa Na Mawaziri Wakuu Wastaafu Karibia Wote Wanamtaka Dr. John Pombe Magufuli Na TEAM LOWASSA Hawawezi Kukubali Kumpa Nchi Mbaya Wao Bernard Membe ( Ambaye Kwa Kiasi Kikubwa Sana Anasapotiwa Na JK Pamoja Na Familia Yake Nzima ILI Aje Kulinda Maslahi Ya JK Binafsi Na Wanafamilia Wake ) Kwani Wanajua Kuwa ATAWAMALIZA Kwa Visasi Hivyo Watatumia USHAWISHI Wao Wote Ili Wampigie Kura Mama Dr. Asha Rose Migiro Na Watasaidiwa Mno Na Katibu Mkuu Wa CCM Abdularhman Kinana. Hivyo Basi Kwa Mazingira Hayo Na Labda Nguvu Ya Ziada Itumike Tu Ili Magufuli Awe Rais ILA Naiona Njia Ni Nyeupe Kwa Mama Asha Rose Migiro Kuwa Mgombea Rasmi Wa CCM ISIPOKUWA Huyu Mama Nje Ya CCM Hauziki Vilivyo Na Mapungufu Haya Ndiyo Yatafanya UPEPO Baadae Ubadilike Na Magufuli Apitishwe Kwani Kiuhalisia Ndiye Mtu Pekee Si Tu Anakubalika Bali Anaogopwa Na Anaheshimiwa Sana Hata Na Wapinzani Japo Wawili Hao Kama Binadamu Hawakosi Mapungufu Yao Na Kwa Uzuri Ni Kwamba Yanarekebishika. 60% Dr. Magufuli Na 40% Dr. Migiro. Huo Ndiyo Mtazamo Wangu Mdogo Na Alamsiki Nyote.