Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Unahamisha tu mkeka kijana? Ulianza kwa Lowasa, mara Mako, ukaja Membe, sasa ni Magufuli, vipi akikatwa utakwenda kwa mama yako yupi?
Sijawahi kumshabikia Lowasa wala Membe wala Makonda. Namuunga mkono mtu mwenye sifa kama Magufuli
 
Kuna gari la matangazo la ccm linapita mitaani kutangaza kwamba ccm itamtambulisha mgombea wake wa urais uwanja wa jamhuri saa7:00mchana kesho jumapili
 
Na Mwambie Tu Kuwa Kuna Kila Dalili Asha Rose Migiro Akapata Political Advantage Hapa Na Kuibuka Mgombea Rasmi Wa CCM Na Kuna Kila Uwezekano Tukaongozwa Na Mwanamke This Time. WHY? TEAM LOWASSA Hawawezi Kukubali Kumpa Nchi Magufuli Kwani Wanajua Akichukua Nchi Atawatesa Hivyo Hawamwamini Totally Na Hawamtaki Kabisa ISIPOKUWA System, Wazee Wote Wa CCM Kuanzia Mwinyi, Mkapa, JK ( Japo Kidogo ), Mangula, Msekwa Na Mawaziri Wakuu Wastaafu Karibia Wote Wanamtaka Dr. John Pombe Magufuli Na TEAM LOWASSA Hawawezi Kukubali Kumpa Nchi Mbaya Wao Bernard Membe ( Ambaye Kwa Kiasi Kikubwa Sana Anasapotiwa Na JK Pamoja Na Familia Yake Nzima ILI Aje Kulinda Maslahi Ya JK Binafsi Na Wanafamilia Wake ) Kwani Wanajua Kuwa ATAWAMALIZA Kwa Visasi Hivyo Watatumia USHAWISHI Wao Wote Ili Wampigie Kura Mama Dr. Asha Rose Migiro Na Watasaidiwa Mno Na Katibu Mkuu Wa CCM Abdularhman Kinana. Hivyo Basi Kwa Mazingira Hayo Na Labda Nguvu Ya Ziada Itumike Tu Ili Magufuli Awe Rais ILA Naiona Njia Ni Nyeupe Kwa Mama Asha Rose Migiro Kuwa Mgombea Rasmi Wa CCM ISIPOKUWA Huyu Mama Nje Ya CCM Hauziki Vilivyo Na Mapungufu Haya Ndiyo Yatafanya UPEPO Baadae Ubadilike Na Magufuli Apitishwe Kwani Kiuhalisia Ndiye Mtu Pekee Si Tu Anakubalika Bali Anaogopwa Na Anaheshimiwa Sana Hata Na Wapinzani Japo Wawili Hao Kama Binadamu Hawakosi Mapungufu Yao Na Kwa Uzuri Ni Kwamba Yanarekebishika. 60% Dr. Magufuli Na 40% Dr. Migiro. Huo Ndiyo Mtazamo Wangu Mdogo Na Alamsiki Nyote.

Haya maneno yana uwezekano mkubwa wa kutimia.
Mwanamke anaenda kuwa amiri jeshi mkuu.
 
Sijui UKAWA watawambia nini wananchi kuhusu utendaji kazi yake maana Magufuli kila kijiji cha Tanzania kipo kichwani.

Maalim vipi tena, Kukariri ndio imekuwa sifa ya urais?. Basi wanaokariri kile kitabu chetu chenye maandishi ya kiarabu wapewe urais wote...
 
Magufuli kura 290
amina kura 284
migiro kura 280
makamba kura 124
membe kura 120

Makufuli oyeeeeeeeeee
 
Hakika ni raha hapa Lowasa ndani ya nyumba!
 
Jamani watu hatuamini kila ukweli ndio huo. Zile mbwembwe za kuwa mafuriko hayazuiliwi kwa mikono ila Leo imekua kinyume chake yani jamaa wamezuia kwa kidole tu???
 

Attachments

  • 1436642264963.jpg
    1436642264963.jpg
    29.9 KB · Views: 1,543
nilikuwa bar moja muda mfupi nikiwa na wajumbe wa mkutano huo mkuu inaonekana wamechukizwa sana na lowassa kukatwa jina na wanasema "plan b" sasa ni kuchagua mgombea dhaifu huku wakisema ni mwanamke ili akishindana na mgombea wa ukawa ashindwe.

Jamaa wana hasira na wanalalamika sana.

wanakuzuga tu mkuu,wanajifanya wana uchungu kwani wao wamekosa nn?hebu tuwaangalie mara mbili mbili hawa wanaojifanya wameumizwa au wameshangazwa na lowasa kukatwa.!km walizoea kuishi kwa dili au ujanja ujanja wakat umefika sasa
 
Back
Top Bottom