Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,932
- 5,563
C C M Haina Ubavu Wa Kumkata Membe! Maskio Hayazidi Kichwa
AMESHAKATWA.membe ameungana Lowasa kwenye safari ya matumaini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
C C M Haina Ubavu Wa Kumkata Membe! Maskio Hayazidi Kichwa
Naona Dr. John Joseph Pombe Magufuli kaimarishiwa ulinzi!Mwaga mboga tupige teke na kukanyagakanyaga ugali .
Teh teh teh.......
msukuma, kabila kubwa ambao tulisema hatuwez kuyapa nchi!
Sijawahi kumshabikia Lowasa wala Membe wala Makonda. Namuunga mkono mtu mwenye sifa kama MagufuliUnahamisha tu mkeka kijana? Ulianza kwa Lowasa, mara Mako, ukaja Membe, sasa ni Magufuli, vipi akikatwa utakwenda kwa mama yako yupi?
Tehetehetehetehe. Waendeleze makundi yao hukoAMESHAKATWA.membe ameungana Lowasa kwenye safari ya matumaini
Na Mwambie Tu Kuwa Kuna Kila Dalili Asha Rose Migiro Akapata Political Advantage Hapa Na Kuibuka Mgombea Rasmi Wa CCM Na Kuna Kila Uwezekano Tukaongozwa Na Mwanamke This Time. WHY? TEAM LOWASSA Hawawezi Kukubali Kumpa Nchi Magufuli Kwani Wanajua Akichukua Nchi Atawatesa Hivyo Hawamwamini Totally Na Hawamtaki Kabisa ISIPOKUWA System, Wazee Wote Wa CCM Kuanzia Mwinyi, Mkapa, JK ( Japo Kidogo ), Mangula, Msekwa Na Mawaziri Wakuu Wastaafu Karibia Wote Wanamtaka Dr. John Pombe Magufuli Na TEAM LOWASSA Hawawezi Kukubali Kumpa Nchi Mbaya Wao Bernard Membe ( Ambaye Kwa Kiasi Kikubwa Sana Anasapotiwa Na JK Pamoja Na Familia Yake Nzima ILI Aje Kulinda Maslahi Ya JK Binafsi Na Wanafamilia Wake ) Kwani Wanajua Kuwa ATAWAMALIZA Kwa Visasi Hivyo Watatumia USHAWISHI Wao Wote Ili Wampigie Kura Mama Dr. Asha Rose Migiro Na Watasaidiwa Mno Na Katibu Mkuu Wa CCM Abdularhman Kinana. Hivyo Basi Kwa Mazingira Hayo Na Labda Nguvu Ya Ziada Itumike Tu Ili Magufuli Awe Rais ILA Naiona Njia Ni Nyeupe Kwa Mama Asha Rose Migiro Kuwa Mgombea Rasmi Wa CCM ISIPOKUWA Huyu Mama Nje Ya CCM Hauziki Vilivyo Na Mapungufu Haya Ndiyo Yatafanya UPEPO Baadae Ubadilike Na Magufuli Apitishwe Kwani Kiuhalisia Ndiye Mtu Pekee Si Tu Anakubalika Bali Anaogopwa Na Anaheshimiwa Sana Hata Na Wapinzani Japo Wawili Hao Kama Binadamu Hawakosi Mapungufu Yao Na Kwa Uzuri Ni Kwamba Yanarekebishika. 60% Dr. Magufuli Na 40% Dr. Migiro. Huo Ndiyo Mtazamo Wangu Mdogo Na Alamsiki Nyote.
Sijui UKAWA watawambia nini wananchi kuhusu utendaji kazi yake maana Magufuli kila kijiji cha Tanzania kipo kichwani.
Teh Teh si ukubali mmeshindwa kuhafikiana? Teh Teh....haha mtasoma namba....CCM mbele kwa mbele...
Hatua nzuri.Kuna gari la matangazo la ccm linapita mitaani kutangaza kwamba ccm itamtambulisha mgombea wake wa urais uwanja wa jamhuri saa7:00mchana kesho jumapili
Mi ningekuwa magamba basi ningetupa turufu yangu kwa Da Amina....
nilikuwa bar moja muda mfupi nikiwa na wajumbe wa mkutano huo mkuu inaonekana wamechukizwa sana na lowassa kukatwa jina na wanasema "plan b" sasa ni kuchagua mgombea dhaifu huku wakisema ni mwanamke ili akishindana na mgombea wa ukawa ashindwe.
Jamaa wana hasira na wanalalamika sana.
Hakika ni raha hapa Lowasa ndani ya nyumba!